D’Banj anaisogeza mpya yenye midundo ya kipekee, ‘Emergency’ – (Audio)!
Staa na mmoja ya wakongwe wa muziki kutoka Nigeria, D'Banj anafungua mwaka kwa kuziandika headlines kwenye kurasa za burudani na ujio wa single yake mpya 'Emergency' ikiwa ni single ya…
Kama unakwepa kuoga ukitegemea perfume, nayo inaweza kukuletea balaa !! Cheki na hii ya Uingereza..
Stori inatoka Uingereza ambapo kijana mmoja Thomas Townsend mwenye umri wa miaka 16 amefariki, uchunguzi unaonesha kilichosababisha kifo chake ni matumizi makubwa ya spray za manukato mwilini. Najua kuna watu…
Msimamizi wa bomoabomoa kuanguka ? Hali ya Askofu Pengo? Nauli za mwendokasi? #StoriKUBWA
Najua huenda siku yako ilianza ukiwa busy ukashindwa kusikiliza uchambuzi wa stori za Magazetini January 8 2016, hapa nina nukuu chache za uchambuzi huo. Mzee Mkapa, Jaji Warioba na Rais…
VIDEO: Magoli ya Azam FC vs Mafunzo FC 1-2 Mapinduzi CUP 2015
Hii ni January 7 2016 kutoka kombe la Mapinduzi 2016 linaloendelea Zanzibar ambapo Azam FC inayofundishwa na kocha Stewart Hall ilivunja rekodi yake yenyewe kwa kutolewa katika michuano ya kombe hili kwa…
January 8 2016 magazeti 17 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 08 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 17 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea…
Rais Magufuli kaziachia bilioni 18.77 tayari…kodi imekusanywa vipi ikilinganishwa na mwaka 2014?
Siku chache tu baada ya kuuanza mwaka 2016, tayari ile ahadi ya Rais John Pombe Magufuli kuhusu kutoa elimu bure kwa Watanzania imeshaanza kutekelezwa ambapo Waziri wa Fedha Dr. Philip Mpango amethibitisha…
Cheki video ya vituko vya mashabiki na magoli ya mechi ya Mtibwa Sugar 1-2 Yanga Mapinduzi Cup 2016 …
Usiku wa January 7 ulipigwa mchezo wa mwisho wa Kundi B katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2016, kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani dhidi ya klabu…
Video: Dakika 4 za Mbwana Samatta akinyakua tuzo ya mchezaji bora Afrika 2015
Jan 7 2016 Mtanzania Mbwana Samatta aliandika historia nyingine katika ulimwengu wa soka mara baada ya kujinyakulia ushindi wa mchezaji bora wa soka Afrika 2016, bonyeza Play hapa chini kuona…
Memory za Ijumaa: Trey Songz alipomfanyia massage shabiki wa kike jukwaani mbele ya mamia (video)
Trey Songz ni mwimbaji staa wa Marekani ambaye amekua akitajwa katika list ya Waimbaji wanaopendwa na mabinti na hata nyimbo zake zimekua za mapenzi kwa asilimia kubwa, sasa kwenye hii…
Kumaliza safari salama ni Mungu tu.. hizi ajali za Malori zilizonaswa kwenye video zikitokea livelive zinatisha
Ajali huwa zinatokea popote na wakati mwingine tunapona sababu ya rehema za mwenyenzi Mungu ila pamoja na hayo, kufata sheria za barabarani kama vile kukaa mbali na mwenzako mnapofatana au…