Vichekesho vya Kansiime kuhusu wanaume wanaosaliti wake zao kwenye ndoa! – (Video)
Unadhani ni kwanini wanawake wengi huacha kujipenda baada ya kupata watoto? Majukumu yanakuwa mengi zaidi ama? Nimekutana na video moja ya comedy kutoka +256 ya mtu wetu Kansiime Anne ambapo…
Hii ndio sababu ya wimbo wa Drake ‘Hotline Bling’ kutokuepo kwenye tuzo za Grammy’s 2016…
Rapper kutoka kundi la muziki la Cash Money Records, Drake ni miongoni ya wasanii waliofanikiwa kuingia kwenye nominations za The 58th Grammy Awards akiwa anawania vipengele kadhaa, baadhi vikiwa Best…
Magazeti ya Tanzania December 9 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 9 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Picha 47 kutoka kwenye show ya Koffi Olomide Dec 8 Dar es salaam ! kuanzia red carpet mpaka ndani
Usiku Dec 8 wakazi wa Dar es Salaam walipata burudani kali kutoka kwa mwimbaji wa Congo DRC Koffi Olomide kwenye show ya Selfie 16 na kusherehekea kutimiza miaka 16 ya…
Muheshimiwa Mbunge Profesa Jay alivyoianza kazi jimboni kwake Mikumi (audio+pichaz)
Staa wa kitambo kwenye bongofleva ambaye kwa sasa ni Muheshimiwa Mbunge wa jimbo la Mikumi Morogoro Tanzania Profesa Jay ameanza kuvisogeza vichwa vya habari karibu yake baada ya kuanza kuwafanyia…
Kwanini kocha wa Majimaji FC hajarudi Tz mpaka leo? mchezaji aliejipeleka Mbeya City je?
Maswali yote haya yanayo majibu yake, usajili wa Wachezaji wawili walioufanyia maamuzi Majimaji FC, Wachezaji walioachwa, mchezaji wa Majimaji FC anayetajwa kutaka kusajiliwa na Mbeya City? kocha wa Majimaji ambaye ni…
Msisitizo wa Ikulu kuhusu siku ya Dec 9 na salamu za Rais Magufuli kwa Watanzania
Ni taarifa ya Ikulu iliyonifikia December 8 2015 jioni ni kuhusu msisitizo wa Ikulu kuhusu siku ya December 9 2015 ambayo ni siku ya Uhuru, vilevile kwenye hii video hapa…
Hii ndio Top 5 ya wachezaji wanaoongoza kwa kuoneshwa kadi nyingi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Bado michezo nane hatua ya makundi imalizike, baada ya December 8 kuchezwa michezo nane lakini Usiku wa Jumatano ya December 9 ndio siku ambayo jumla ya timu 32 zitakuwa zimemaliza…
Real Madrid wahitimisha mechi za makundi kwa kuichapa Malmoe, Cheki Full Time ya UEFA Dec 8 (+Pichaz&Video)
Mechi za mwisho za hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya zinamalizika usiku wa December 8 na usiku wa December 9, tayari mechi za Kundi A, B, C…
Neymar kashinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa Laliga, ila kaweka rekodi ambayo haiwezi kuvunjwa kamwe …
Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi ni tuzo ambayo Ligi nyingi duniani huwa wanayo hata katika Ligi Kuu soka Tanzania bara huwa ipo, December 8 ndio siku ambayo Ligi Kuu…