Baada ya utunzaji wa kumbukumbu zake kwa tattoo, Zlatan Ibrahimovic kaja na hii ya utunzaji wa magoli yake …
Ni headlines za staa wa soka anayeipeperusha vyema bendera ya Sweden na anakipiga katika klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, ameingia katika headlines kadhaa mwaka 2015 ikiwemo…
Spidi ya Dr. Magufuli…. huu mzigo umedakwa Dar ukipelekwa China. (video)
Wizara ya mali asili na utalii ndio imechukua hatamu sasa hivi kwenye bandari ya Dar es salaam November 27 2015 baada ya kutonywa kwamba kuna ishu inaendelea, kupata stori kamili…
Kwenye Top10 ya TRACE TV…. ni moja tu ya Tanzania inashindana na za Drake, Adele na Future
Zile chati za muziki kutokea Kituo cha Television cha Kimataifa, Trace TV cha nchini Ufaransa imekamilika leo Nov 27 2015 katika Urban Top 10. Kutoka Tanzania ni ngoma moja pekee…
Part 1: Naj Exclusive Interview na asichopenda kuulizwa tena.. (video)
Naj ni msanii wa bongofleva ambaye wengi walianza kumuona kwenye video ya Tabasamu ya Mr. Blue na sasa ni msanii na nyimbo zake, makazi yake yalikua Uingereza lakini sasa hivi…
Vitatu usivyovifahamu kuhusu maisha ya soka ya Danny Mrwanda, vipi ana bifu na Simba? (+Audio)
November 27 mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee vitu vitatu exclusive usivyovifahamu kutoka kwa staa wa soka wa Tanzania aliyewahi kutamba na vilabu vya Simba na Yanga Danny Mrwanda, wengi…
Hizi ni dalili tatu za Pep Guardiola kuwa ataondoka FC Bayern Munich na kutimkia Man City …
Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani ambaye amewahi kuifundisha kwa mafanikio klabu ya FC Barcelona ya Hispania Pep Guardiola amekuwa akihusishwa kutakiwa kujiunga na klabu ya Manchester…
Monica kamuweka Akon kwenye hii mpya; ‘Hustler’s Ambition’ na angependa ikufikie – (Audio)
Msanii wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Monica Brown maarufu kama Monica ataachia Album yake ya nane Code Red tarehe 18 December 2015... na baada ya kuachia single inayobeba Album…
Juma Nyosso kwenye headlines na ile ishu ya John Bocco baada ya TFF kuridhia hili …
Stori za beki wa kati na nahodha wa klabu ya Mbeya City aliyewahi kutamba na Simba Juma Nyosso amerudi katika headlines November 27, baada ya Chama cha Wachezaji Soka Tanzania (Sputanza)…
Dr. Manyaunyau hajafungwa !! Mengine aliyopitia? Ukondakta, kuigiza, ushirikina? Amejibu haya..
Katika mitandao ya kijamii leo taarifa ilisambaa kuwa Jongo Salum maarufu kama Dr. Manyaunyau amefunguliwa mashtaka ya utapeli na kutakiwa kwenda jela miaka mitatu sambamba na fidia ya zaidi ya milioni 2.…
Miili 35 ya watu ilivyopatikana baada ya mashambulizi ya Boko Haram Nigeria..
Mara ya mwisho kusikia headlines za matukio ya Boko Haram, Nigeria ilikuwa miezi kadhaa iliyopita na eneo la mwisho kusikia Boko Haram wapo lilikuwa Jimbo la Bama... lakini leo kuna…