Mbrazil Andry Coutinho amevunja mkataba wake na Yanga? makao makuu wanasemaje?
Headlines ya zile tetesi za klabu ya Dar Es Salaam Young African kumtema kiungo wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho zimekuwa tofauti na vile ambavyo…
Ziara ya Papa Francis!! Hivi ndivyo Wakenya walivyomkaribisha leo..+Pichaz
Papa Francis wa kanisa katoliki duniani ameanza ziara yake katika nchi za Afrika na leo alikuwa Kenya. Papa Francis alilakiwa na rais wa Kenya Uhuru Kenyatta katika uwanja wa ndege…
Kilichoamuliwa na mahakama kuu Mwanza kuhusu kesi ya marehemu Alphonce Mawazo (PICHAZ+AUDIO)
Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza leo iliendelea kusikiliza kesi iliyofunguliwa na Charles Rugiko ambaye ni ndugu wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kwa kupinga zuio la…
Zinazotajwa kuwa Style 20 kali za ushangiliaji wa magoli katika soka, Ronaldinho na Balotelli wapo pia (+Video)
Mchezo wa soka ni miongoni mwa michezo inayoongoza kwa kupendwa duniani kote, vituko na burudani yake havijaishia uwanjani kwa wachezaji kupiga chenga na kufunga magoli na mashabiki kushangilia, kwenye soka…
Ni time ya kumjua Director wa video za muziki kutoka South Africa, Justin Campos..!
Jina lake limepata umaarufu mkubwa sana kutokana na mikono yake kuhisika kwenye kazi nyingi za wasanii kutoka South Africa, Nigeria na sasa hivi Tanzania... Najua kuna watu wangu wengi wanalisikia…
Semina ya COSOTA na wasanii, maamuzi yaliyofikiwa ni haya..(Pichaz)
Leo Chama cha Haki Miliki Tanzania ‘COSOTA’ wameendesha Semina ya Ufuatiliaji wa kazi za sanaa na Ugawaji Mirabaha ambayo itakusanywa na vituo vya Radio na Televisheni. Hii itakua ni fursa ya Wasanii…
Jibu la kocha wa Arsenal Arsene Wenger kwa wanaomuita mbahili wa matumizi ya fedha (+Video)
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ni miongoni mwa makocha wanaotajwa kuwa wagumu wa kutumia fedha nyingi katika kuwekeza kununua wachezaji na kuboresha kikosi chake, Wenger mara…
Safari ya kwanza kwa ‘Yamoto Band’ Marekani!! Ujumbe wa Mkubwa Fella ni huu hapa…(Audio)
Band ya Yamoto tayari imeondoka jana usiku kuelekea Marekani tayari kwa ziara yao ya wiki tatu baada ya kupata mwaliko kutoka kwa Watanzania wanaoishi huko. Mkubwa Fella amezungumzia safari hiyo…
Kwenye kazi za kushirikishwa, Chris Brown hapendelei kufanya hiki…!
Baada ya kutembelea studio za HOT 97 na kufanya kipindi cha asubuhi cha Ebro In The Morning, Chris Brown alizitembelea pia studio za Power 106 kwa ajili ya kufanya kipindi…
Miaka 14 toka Zlatan Ibrahimovic ahame Malmo.. haya ndio mapokezi atakayokutana nayo!!
Usiku wa leo kutakuwa na mchezo wa ligi ya mabingwa Ulaya kati ya PSG ya Ufaransa dhidi ya klabu ya Malmo ya Sweden. Zlatan Ibrahimovic atakuwa nyumbani katika mji wa…