Unamkumbuka Naj? Kutana na muonekano wake mpya kwenye ‘No Going Home’ – (Video)!
Good news kwa watu wangu wa Bongo Flevani, baada ya ukimya wa muda mrefu msanii wa muziki wa Bongo Fleva aliyekuwa Uingereza kwa ajili ya masomo, Naj amerudi kuichukua nafasi…
The Game kaamua kuisogeza list yake ya rappers 10 wakali zaidi duniani, Eminem na Ice Cube watajwa!
Orodha ya The 10 Greatest Rappers of All Time ya Billboard inaendelea kuweka headlines tofauti kwenye mitandao ya kijamii... siku chache tu zilizopita tulishuhudia Snoop Dogg akisema kutokuwepo kwa 2…
Zamu ya jukwaa la kampeni za mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM.. (+Pichaz)
Wiki moja iliyopita Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema alizindua kampeni zake katikati ya mji wa Arusha. Ni zamu ya kukusogezea pichaz kutoka Jukwaa la uzinduzi wa…
#Goodnews Navy Kenzo watangaza collabo na kundi hili la muziki kutoka Ghana!
Kila kitu kinachoguswa na kundi la muziki kutoka Tanzania, Navy Kenzo lazima kiwe 'Above In A Minute'... yes mtu wangu kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa muziki wa Navy Kenzo…
Maneno 34 ya mke wa Rais Mugabe kwa wanaovaa sketi fupi na suruali za kubana.. !!
Huu ujumbe umetoka kwa mke wa Rais wa Zimbabwe, Mama Grace Mugabe na umetolewa kwenda kwa warembo wote wanaopendelea vimini na suruali za kubana, anasema lolote baya likikukuta basi ujue…
Mbunge Zitto Kabwe anataka kuyaona haya kwenye siku 100 za uongozi wa Rais Magufuli.. (+Video)
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe nae yumo kwenye wale ambao wameapishwa na watawakilisha watu wao ndani ya Bunge Dodoma kwa kipindi cha miaka mitano. Nimempata kwenye exclusive interview na AyoTV,…
Duh! Kupiga ‘selfie’ na Justin Bieber itakubidi uwe na kiasi hiki cha mshiko!!
Zimepita siku chache tu toka Justin Bieber atangaze kuanza kwa tour yake 'Purpose world tour ' mwanzoni wa mwaka 2016, tour itakayompeleka nchi 56 kwa ajili ya kuitangaza Album yake mpya,…
Monday Playlist yako iwe na hii mpya kutoka kwa Christina Milian, ‘Like Me’ feat. Snoop Dogg – (Audio).
Licha ya kuachana na Lil Wayne, staa wa muziki wa R&B Marekani, Christina Milian anaendelea kuweka headlines na TV Show zake 'Grandfathered' na 'Christina Milian Turned Up'... lakini ukiacha hayo…
Rais JPM na dawa za kulevya, Zitto na wanaompinga Rais JPM, Wabunge na mikopo? #PowerBreakfast.
Good Morning mtu wangu, Uchambuzi wa magazeti redioni @CloudsFM umekupita? Kazi yangu siku zote ni kuhakikisha zile zote kubwa za siku zinakufikia, hizi ni baadhi ya stori zilizoguswa kwenye Uchambuzi redioni.…
Udaku, hardnews na michezo kumeamka na stori hizi kubwa leo Tanzania >> #Magazeti Nov 23 2015
Good morning mtu wangu!! Leo ni November 23 2015 nimekusogeza karibu na Magazeti ya Tanzania kwenye stori zote kubwakuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu…