Stori kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania November 14 2015, udaku hardnews na michezo kumeamka na hizi
Leo November 13 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook…
Sentensi mbili za David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid …
Kama ni mpenzi wa soka wa muda mrefu huwezi kuacha kumjua David Beckham staa wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham…
Ijue siri ya rozari ya Joseph Kimwaga wa Simba, kwa nini anavaa muda wote? akiingia uwanjani je? (+Audio)
Jina Joseph Kimwaga sio geni katika soka la Tanzania hususani katika vilabu vya Azam FC na Simba, Kimwaga alianza kusikika katika soka akiwa katika klabu ya Azam FC kabla ya…
Haya ndio maamuzi mapya ya mahakama kuhusu katibu mkuu wa zamani wa Simba….
Aliyekuwa katibu mkuu wa Simba na mwenyekiti wa chama cha soka mkoani Pwani (COREFA) Hassanoo jina lake limeingia katika headlines November 13 baada ya mahakama kufanya maamuzi mapya, katibu mkuu…
Maduka ya dawa jirani na hospitali yanafungwa!! kingine kilichonifikia kutoka Wizara ya afya ni hiki…
Jana katibu mkuu wa Wizara ya afya Dk.Donan Mmbando alizungumzia kuhusu mikakati ya kutaka kufunga maduka ya dawa yaliyo karibu na hospitali za Serikali kwa madai ya malalamiko ya wizi…
#Goodnews hatimaye safari ya Mtanzania Mayunga kukutana na Akon imefika… ni wiki ijayo!
Mshindi wa shindano la Trace Music Stars Africa, Mtanzania Nalimi Mayunga anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za Bongo Fleva. Baada ya kushinda shindano hilo kubwa la kusaka vipaji, Mayunga…
Mama Makinda hataki Uspika.. mengine matatu>> miaka 40 Bungeni, kelele? wanaogombea? (+Audio)
Tayari wanachama 21 wamejitokeza kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kuliongoza Bunge la 11 litakaloanza siku chache zijazo. Kuna Magazeti ambayo…
#AyoTV: Ilikuwaje mpaka Steve Nyerere akalishwa sumu? anachokiamini ni hiki..!! (+Video)
Kumekuwa na stori mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuhusu ishu ya wasanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere na JB kulishwa chakula chenye sumu !! Hii ni story kwenye ukurasa…
Missy Elliott arudi kwa kishindo baada ya ukimya wa miaka 10 na WTF (Where They From) – (Video)!
Mara ya mwisho kumsikia Missy Elliott kwenye headlines za burudani ilikuwa ni lini? Amini usiamini imepita miaka 10 toka mkongwe wa muziki wa HipHop Missy Elliott aziweke headlines kwenye kurasa…
Mapenzi yanaendelea kati ya Rick Ross na mchumba wake kwenye hii mpya ‘Sorry’ feat. Chris Brown – (Video)!
Kumekuwa na maneno mengi sana juu ya Rick Ross na mchumba wake Lira Galore, mitandao mingi ya Marekani iliripoti kuwa wawili hao wameachana na kuwa Rozzay kavunja uchumba na mwanamke…