Video: Martin Kadinda alipofika China kutaka kumuona Jackline Cliff gerezani
Jackline Patrick Cliff ni video queen wa Tanzania ambaye amefungwa gerezani huko Macao China kwa kosa la kupatikana na dawa za kulevya, kwenye OnAIR with Millard Ayo bestfriend wake Martin…
Mapumziko ya kesho yanawahusu wa mitihani ya kidato cha nne? majibu yametolewa hapa
Umeipata taarifa ya kuwa kesho November 5, 2015 ni siku ya mapumziko sababu ya kushuhudia kuapishwa kwa Rais mpya wa Tanzania Dr. Magufuli? ......pamoja na hayo Wanafunzi wa kidato cha nne…
Hii ndio zawadi ya Diamond kwa Queen Darleen….(Picha)
kama tulivyozoea kuona mastar wengi huitumia siku ya kuzaliwa kupeana zawadi kali, sasa hii imetokea kwa staa wa kike wa Bongo Fleva, Queen Darleen ambaye leo November 4, 2015 ni…
Hasheem Rungwe kwenda mahakama kuu ? stori iko hapa….
Wakati tukizisubiria saa chache zijazo ili kuifikia November 5,2015 kwaajili ya kushuhudia tukio la kitaifa la kuapishwa kwa rais mteule wa Tanzania kwa awamu ya tano DK. John Pombe Magufuli,nakusogezea…
Baada ya Mohamed Dewji kuweka wazi lengo lake la kutaka kuinunua klabu ya Simba, huu ndio mtazamo wa Aden Rage…
Wiki kadhaa nyuma mfanyabiashara mkubwa na maarufu Tanzania Mohamed Dewji aliweka wazi dhamira yake ya kutaka kuinunua klabu ya Simba na kuwekeza bilioni 20 kwa ajili ya klabu hiyo, Dewji…
Alan Wanga kaeleza experience ya maisha ya Sudan, ukinywa pombe hii ndio adhabu utakayopewa
Mshambuliaji wa kimataifa wa Kenya anayekipiga katika klabu ya Azam FC ya Tanzania Alan Wanga November 4 amefunguka katika Amplifaya ya Clouds FM kuhusu maisha ya Sudan, nchi ambayo utamaduni…
Hii ndio list ya watu 10 wanaokubalika zaidi Duniani, namba 1 je?
Jarida la Forbes wameitambulisha hii list leo November 04 2015, na unaambiwa majina haya 10 ndio yameonekana kuwa na nguvu kubwa zaidi ya kukubalika Duniani. Kabla ya kuitambulisha list, Forbes…
Siku moja baada ya Gerrard kuthibitisha siku atakayostaafu soka, Jurgen Klopp kathibitisha kuongea haya na Gerrard
Kocha wa kijerumani ambaye ana muda wa wiki kadhaa toka ajiunge na Liverpool kama kocha mkuu wa klabu hiyo, baada ya uongozi wa Liverpool kumfuta kazi Brendan Rodgers. Ikiwa ni…
Jamaa hata hakuwaza yani, kaingia barabara ya mbio za magari apige picha..
Mengine yaliyonifikia leo ni kutoka kwa huyu kijana raia wa Uingereza ambaye amejikuta akiishia jela huko Singapore baada ya kuvamia katikati ya barabara ya mbio za magari na kupiga picha.…
Huyu ndio Mike Dean refa ambaye hushangilia magoli yanapofungwa, cheki video zake …
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mchezo wa soka hususani barani Ulaya hakika jina la Mike Dean sio jina geni masikioni mwako, Mike Dean ni refa ambaye alianza kazi ya…