Mtoto aliyekamatwa na saa wakidhani ni bomu amekaribishwa Ikulu ya Obama.. Mipango ya shule?
Unamkumbuka Ahmed Mohamed mtoto kutoka Dallas, Texas Marekani aliyekamatwa na polisi baada ya kupeleka shule saa iliyodhaniwa kuwa ni bomu? Yes, Ahmed aliweka headlines nyingi sana Marekani na saa yake…
Magufuli na Dar, EAC na Tanzania, Pinda; ‘tujiandae kisaikolojia’, Masha Mahakamani tena? Kesi ya mita 200 je? (Audio)
Good Morning mtu wangu, uchambuzi wa magazeti @CloudsFm umekupita? kazi yangu ni kuhakikisha zile zote kubwa kwenye kuperuzi na kudadis hazikupiti, lakini kama ilikupita na hukuisikia basi karibu ucheki na…
Magazeti ya Tanzania leo October 21, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Octoba 21, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Full Time ya Arsenal Vs FC Bayern Munich na matokeo ya mechi nyingine za UEFA October 20 (+Video)
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeendelea leo October 20 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya. Miongoni mwa mchezo uliyovuta hisia za mashabiki wengi wa soka ni…
Wakala wa Raheem Sterling ametaja kosa alilolifanya Brendan Rodgers hadi Raheem Sterling akahama Liverpol…
Bado zile stori za Raheem Sterling kuhama Liverpool na kujiunga na Manchester City pamoja na kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa timu hiyo Brendan Rodgers zinazidi kuchukua headlines. Wakala wa…
Picha za makazi mapya ya Beckham na familia yake ndani ya Uingereza..
Familia ya staa mwanamitindo aliyestaafu Soka, David Robert Joseph Beckham pamoja na mkewe ambaye ni staa wa mitindo pia, Victoria Caroline Beckham ni mastaa ambao wana umaarufu na heshima kubwa sana…
Shauri la kukaa mita 200 baada ya kupiga kura limefika Mahakama Kuu Dar….
Ni headlines baada ya headlines inawezekana ulikuwa na maswali mengi kuhusiana na kauli ya tume ya Uchaguzi kuhusu kusimama mita 200 pale unapomaliza kupiga kura siku ya tarehe 25, 2015.…
Kwa suala hili Pep Guardiola hawaungi mkona Sir Alex Ferguson na Arsene Wenger…
Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola ambaye leo October 20 timu yake itacheza na Arsenal ya Uingereza katika uwanja wa Emirates, kauli yake imeingia katika…
Video ya Tembo walivyomzuia jamaa na bodaboda yake kukatisha barabarani… (Video)
Wako wanyama kama Simba au Chui ukikutana nao barabarani lazima upate hofu, lakini kama unakatisha zako halafu ukakutana na Tembo unaweza kumchukulia poa, ukamkwepa tu pembeni halafu ukaendelea na safari…
Dr. Dre kwenye headlines, kufikishwa mahakamani na mfanyakazi wake wa ndani!
Rapper na producer maarufu Marekani, Dr. Dre ameiingia kwenye headlines baada ya mtandao wa The NewYork Daily News kuripoti kuwa mfanyakazi wa Dr. Dre mwenye jina Raquel Sagustume kufikisha Mahakamani…