Baadhi ya mahujaji kutokea Mecca Saudi Arabia wameanza kurejea Tanzania…(Audio)
Ni Moja ya Habari zilizogusa Vichwa vingi vya Habari Duniani September 24 2015 imeripotiwa Taarifa kuhusu watu zaidi ya 700 kufariki kwenye Msikiti Mkuu ambao Waumini wa Dini ya Kiislamu…
Pale ambapo viatu vimesababisha Mwanariadha wa Kenya ashindwe kuvunja Rekodi ya Dunia..
Eliud Kipchoge ni Mwanariadha aliyewakilisha Kenya kwenye Mashindano ya Riadha ya Berlin Marathon ambayo yamefanyika Berlin Ujerumani… Round ya kwanza haikuwa na neema kwake, ulimi wa ndani ya viatu ulitoka…
DC Paul Makonda leo katembelea Gereji na Viwandani, ishu ni Kipindupindu? Mikataba yao? (+Audio)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, DC Paul Makonda leo September 30 2015 kakatisha kwenye baadhi ya maeneo ndani ya Wilaya ya Kinondoni eneo la Mikocheni ambako kuna Garage za Magari…
Kuondolewa kwa mabango ya vyama, tume ya Uchaguzi wameyazungumza leo Sept 30, 2015
Tukiwa bado katika headlines za Uchaguzi 2015 kumekuwa na matukio mbalimbali yanayotokea kama kuondolewa kwa mabango au kuhusiana na wagombea kuzidisha muda katika kampeni zao sasa leo Sept 30, 2015…
Kumbe Rais Museveni alimsalimia Rais Obama kwa mkono wa kushoto, kuna tatizo? (+Video)
Kuna ishu ya baadhi ya watu kutumia mikono ya kushoto kuandika badala ya mkono wa kulia kama ambavyo imezoeleka, hiyo sio story ya kushangaza, lakini ni kawaida watu kusalimiana kwa…
Kutana na mtoto wa wiki 5 tu lakini kavunja rekodi kwenye mashindano ya Urembo..Pichaz
Imezoeleka wanaoshiriki mambo ya urembo ni mabinti ambao tayari wanajitambua na wenye uwezo wa kujibu maswali pale wanapokuwa wakihojiwa. Hii imekuwa tofauti kwa Matilda Mackie mtoto aliyeshiriki mashindano hayo akiwa…
Mtu wangu wa nguvu haya ni matokeo ya mechi ya Mtibwa Sugar Vs Yanga na mechi nyingine za Sept 30 (+Pichaz)
Bado Ligi Kuu soka Tanzania bara inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, September 30 Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara Dar Es Salaam Young African…
Bibie hakutaka utani, kaamua kutumia Bango kubwa barabarani kutangaza Ndoa imevunjika..
Kuna msemo wa Kiswahili unasema, 'Simulia ila usiombee yakukute' !! Pata picha tukio la mpenzi wako analipia kabisa liwekwe Bango kubwa barabarani lenye ujumbe kwamba wewe na yeye biashara yenu…
Nicki Minaj kumbe ana kipaji cha kuigiza… Haya ni mengine yakutegemea kutoka kwake!
Wengi tunamjua Nicki Minaj kama msanii wa HipHop mwenye hit songs nyingi kama Super Bass, Anaconda na Feeling Myself... Lakini ulishawahi kuvuta picha ya Nicki Minaj kama msanii wa kuigiza?…
Rais wa Nigeria kajipa majukumu haya mengine ndani ya serikali yake…
May 29, 2015 Muhammadu Buhari aliapishwa kuwa Rais mpya wa Serikali ya Nigeria. Baada ya kuingia madarakani moja ya vipaumbele vya Buhari aliahidi kupambana na rushwa na ubadhirifu wa mali za…