Chris Brown anajutia makosa yake baada ya kuzuiwa kuingia Australia? Kayaandika haya..
Kesi ya Chris Brown kumpiga mpenzi wake wa zamani itabakia kuwa moja ya makosa ambayo Chris Brown anajutia sana kuyafanya... story ambayo iligusa Vichwa vya Habari kwenye Entertainment ikiwa na…
Magazeti ya Tanzania Septemba 30, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 30, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Tayari ninazo video za magoli ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mtu wangu…
September 29 michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya iliendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, miongoni mwa mechi zilizovuta hisia za watu wengi ni mechi ya Arsenal dhidi…
Hii ndio adhabu aliyoipata Juma Nyoso baada ya kumfanyia kitendo cha kidhalilishaji John Bocco…
Jioni ya September 27 ilikuwa ni siku ambayo wadau wengi wa soka walikuwa wakijadili kuhusiana na tukio la kidhalilishaji, lilitokea katika mechi ya Azam FC dhidi ya Mbeya City, mechi…
2 Chainz kaileta hii mpya ‘A Milli Billi Trilli’ pembeni Wiz Khalifa – (Video).
Baada ya kuachia wimbo wake wa King of Everything, Wiz Khalifa ameamua kuungana na rapper 2 Chainz kwenye video ya wimbo wake mpya uitwao A Milli Billi Trilli, wimbo unaopatikana…
Ne-Yo anaileta kwako ‘Friend Like Me’ ikiwa tayari imeshafanyiwa video! (Video).
Wakati tukiwa tunaendelea kusubiri collabo ya Diamond Platnumz na msanii wa R&B kutoka Marekani, Ne-Yo itoke, Ne-Yo leo anaisogeza kwetu video ya Friend Like Me... wimbo huu ni moja ya…
Kama wewe ni mtumiaji wa Twitter basi mpango huu ukufikie!
Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu mtandao wa Twitter kuongeza idadi ya maneno ya kutweet kwa Tweet moja... kwa sasa Twitter inamruhusu mtumiaji kutumia uwingi wa maneno 140 tu kutweet message…
Je Unaruhusiwa kuingia na nguo ya chama au kupiga kampeni tarehe 25 October?, majibu yako hapa
Tukiwa bado tupo kwenye headlines za Uchaguzi 2015 hivi karibuni kumekuwa na taarifa zilizoenea kuhusu vijana waliopatikana katika mikoa kadhaa kusimamia kura au masanduku ya Uchaguzi Mkuu 2015 katika kila…
Klabu ya Man United ipo tayari kumuuza Victor Valdes ila kwa sharti hili…
Klabu ya Manchester United ipo tayari kuvunja mkataba na golikipa wa kihispania Victor Valdes, baada ya pande zote mbili kukaa chini na kukubaliana kuhusiana na suala hilo, Klabu ya Manchester United…
Ripoti nyingine kutoka Saudi Arabia, idadi ya Watanzania waliofariki, waliopotea na majeruhi… (+Audio)
Bado tunaendelea kupokea Ripoti kutoka Mji Mtakatifu wa Mecca, Saudi Arabia ambako lilitokea tukio la Mahujaji zaidi ya 700 kufariki wakati wa Sala ya Hijja... Kwenye taarifa ambazo tunaendelea kuzipokea sasahivi…