Magazeti ya Tanzania Septemba 4, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Septemba 4,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote…
Sio simu ya Mourinho pekee ndio ilitosha kuwapiku Man United kwa Pedro, hili nalo lingine la kufahamu…
Kadri siku zinavyo zidi kwenda tuna anza kujua mambo mengi yaliyokuwa nyuma ya pazia la usajili wa vilabu mbalimbali barani Ulaya, vipo vilabu ambavyo vilikosa wachezaji kwa sababu ya dau…
Pichaz za mapokezi ya Dimitar Berbatov katika klabu ya PAOK ya Ugiriki….
Licha ya kuwa alishindwa kutamba katika klabu ya Manchester United kama ilivyokuwa matarajio ya wengi Dimitar Berbatov aliamua kutimkia katika klabu ya Fulham, AS Monaco na sasa kajiunga na klabu…
Du!!! Arsene Wenger muongo kuhusu usajili wa Benzema, maneno ya Paul Merson yapo hapa…
Winga mahiri wa zamani wa klabu ya Arsenal ya Uingereza amefunguka na kusema kuwa kocha wa sasa wa klabu hiyo Arsene Wenger ni muongo. Paul Merson ambaye amewahi kukitumikia kikosi Arsenal…
Itazame na hii mpya kutoka kwa Taylor Swift; ‘Wildest Dreams’ – (Video).
Baada ya kufanya show kali ya ufunguzi kwenye tuzo za MTV VMA's 2015, Taylor Swift hajaona sababu ya kuishia hapo, Taylor karudi na hii mpya mtu wangu inaitwa 'Wildest Dreams',…
Maamuzi ya Tottenham Hotspur kwa Emmanuel Adebayor ni pigo kwake…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo na klabu ya Tottenham Hotspur Emmanuel Adebayor, ambaye kabla ya dirisha la usajili kufungwa alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya West Ham United ya Uingereza…
Hii ni mipango mingine ya milionea Aliko Dangote huko Zimbabwe…
Mwananume tajiri kuliko wote Africa, Aliko Dangote anaziandika headlines zake kwenye kurasa za biashara na uwekezaji barani Africa. Baada ya kuweka wazi mipango alionayo juu ya Tanzania time hii ameweka wazi…
Mapenzi na mpira bora nini? Hili ni jibu la Sergio Busquets wa FC Barcelona…
Kama ulikuwa unafikiri kila mtu ana mawazo ya kuchuja hiki cha kuongea hadharani na hiki cha siri, basi sio kwa kiungo mkabaji wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania Sergio Busquets…
Historia ya maisha ya Didier Drogba sasa kupatikana kwenye kitabu…
Drogba ni mmoja wa mastaa wakubwa Afrika na hata soka la Ulaya, Novemba mwaka huu anatarajia kuzindua kitabu kitakachozungumzia maisha yake kwa ujumla. Akiwa na miaka yake 37 mshambuliaji huyo…
Lewis Hamilton na Rihanna wana mahusiano ya kimapenzi? Hamilton ana majibu haya…
Dereva mahiri wa mbio za magari ya Formula 1 Lewis Hamilton amekuwa akihusishwa kutoka kimapenzi na Rihanna kwa zaidi ya mwezi sasa, toka zile picha za wao kuonekana pamoja katika tamasha linalofanyika…