Sintofahamu ya LOWASSA, Maneno ya GWAJIMA,Dk.1 kupiga kura, Nchi gizani, JK..#StoriKubwa
MWANANCHI Ikiwa zimebaki siku 47 kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, imebainika kuwa kila mtu atatumia wastani wa dakika moja kupiga kura kuchagua diwani, mbunge na rais. Mwenyekiti wa Tume ya…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania Septemba7, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Uhakiki wa BVR mwisho? Lowassa na sintofahamu.. kupiga kura dakika moja? Ukosefu wa umeme TZ.. (Audio)
Ni Jumatatu ya September 7 2015 na tayari ninazo zile zote zinazoweka headlines kwenye kurasa za Magazeti Tanzania, kazi yangu ni kuzisogeza kwako zote moja baada ya nyingine. Uhakiki wa…
Magazeti ya Tanzania Septemba 7, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Septemba 7,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote…
David Beckham anatarajiwa kucheza movie ya James Bond 007…
Staa wa zamani wa klabu za Real Madrid, Man United, LA Galaxy na timu ya taifa ya Uingereza David Beckham anatarajiwa kuonekana katika movie. Beckham mwenye umri wa miaka 40, imeripotiwa…
Pichaz za Neymar alipokutana na pacha wa mcheza tennis New York…
Winga wa kimataifa wa Brazil na klabu ya FC Barcelona ya Hispania Neymar ameingia katika headlines akiwa New York, Neymar ambaye yupo New York na timu yake ya taifa ya…
Hadi July 2014 hawa ndio mastaa 12 wa soka wanaotajwa kuwa wakali wa mitindo (Pichaz)
Hadi July 2014 mtandao wa artbecomesyou.com ulikuwa unawataja mastaa kadhaa wa soka kuwa ndio wakali wa style za mavazi. Licha ya watu wengi kuwa wanaamini kuwa ukiwa na fedha, utakuwa…
Hii ni list ya mastaa wa movie na soka wanaofanana, Di Maria, Messi na Kolou Toure wapo pia…
Kuna usemi unaosema duniani watu wawili wawili kwa maana ya kuwa kila mtu duniani ana mtu aliyefanana naye. Huenda ukawa hujawahi kuonana na mtu unayefanana naye ila huwa inaamika kuwa…
Hizi ni sababu za Memphis Depay wa Man United kutotumia jina la baba yake katika jezi…
Winga mpya wa klabu ya Manchester United Memphis Depay ameingia kwenye headlines, kama ambavyo huwa ni kawaida kwa mastaa kuingia katika headlines za vyombo vya habari kutokana na maisha yao…
Msimamo wa Juma Nature kwenye headlines za Uchaguzi 2015……
Wakati siasa ikiendelea kuchukua Headline na baadhi ya mastaa wakionesha hisia zao na mapenzi yao kwa watu ambao ni wagombea kwa vyama mbali mbali, leo Msanii wa bongo fleva…