Mapenzi na mpira bora nini? Hili ni jibu la Sergio Busquets wa FC Barcelona…
Kama ulikuwa unafikiri kila mtu ana mawazo ya kuchuja hiki cha kuongea hadharani na hiki cha siri, basi sio kwa kiungo mkabaji wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania Sergio Busquets…
Historia ya maisha ya Didier Drogba sasa kupatikana kwenye kitabu…
Drogba ni mmoja wa mastaa wakubwa Afrika na hata soka la Ulaya, Novemba mwaka huu anatarajia kuzindua kitabu kitakachozungumzia maisha yake kwa ujumla. Akiwa na miaka yake 37 mshambuliaji huyo…
Lewis Hamilton na Rihanna wana mahusiano ya kimapenzi? Hamilton ana majibu haya…
Dereva mahiri wa mbio za magari ya Formula 1 Lewis Hamilton amekuwa akihusishwa kutoka kimapenzi na Rihanna kwa zaidi ya mwezi sasa, toka zile picha za wao kuonekana pamoja katika tamasha linalofanyika…
Hii ndio miji ya Africa inayokadiriwa kuja kuwa na mamilionea wengi kufikia mwaka 2020!
Dunia inabadilika sana siku hizi mtu wangu, watu na wawekezaji wengi sana wanaitupia jicho Africa wakiamini hii ndio sehemu pekee iliyobaki yenye uwezo wa kuikomboa dunia ya kesho. Nimekutana na…
Idadi ya wanajeshi wa Uganda waliouawa na Al Shabaab kwenye mapigano Somalia…
Taarifa iliyonifikia ni kuhusu wanajeshi wa Uganda kuuawa na wapiganaji wa Al Shabaab, Somalia wakiwa kwenye kambi ya wanajeshi wa Muungano wa Afrika AU. Miili ya wanajeshi 12 inatarajiwa kusafirishwa…
TID kwenye tuhuma za kupigana, zina ukweli wowote? amesikika kwenye #Uheard ya Soudy Brown
Soudy Brown kapata tetesi kuwa TID amempiga mwenzake Nataly Mdananda na kuamua kumtafuta ili kujua ukweli wa tukio hilo. Anasema siku ya Jumamosi alimpiga kibao na kuyumba kisha akamsukuma hadi…
Ninayo taarifa mpya kutoka TFF kuelekea mchezo wa Taifa Stars Vs Nigeria Septemba 5
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kupitia kwa mkuu wa idara ya habari wa shirikisho hilo, Baraka Kizuguto ametoa taarifa kwa vyombo vya habari kuelekea mchezo wa Taifa Stars…
Hekaheka ya msichana wa kazi kufanyiwa unyama Oman, Wizara ya mambo ya nje imezungumza..(Audio)
Baada ya Hekaheka ya binti wa kazi aitwaye Sada kupelekwa Oman kufanya kazi za ndani na kufanyiwa unyama na wenyeji wake kias chakurudi akiwa hawezi kuzungumza wala kusikia, leo Wizara…
Kutoka Mauritius, Tamasha la MultiChoice Africa! Genevieve Nnaji na wengine ndani.
Ni utaratibu ulioanza mwaka 2014 kwa kampuni ya Multichoice kukutana na Waandishi wa habari/Watangazaji kutoka nchi mbalimbali za Afrika kuonyesha na kuyazungumzia kwa upana vipindi na mengine mengi yanayopatikana kupitia…
UKAWA kutumia CHOPA, Siri hotuba ya Dk.SLAA, daraja la Salenda, ROSTAM, Kipindupindu na mengine ya Magazeti
MWANANCHI Rais Kikwete alisema hayo juzi katika hafla ya kuagana na wapiganaji na walinzi wa usalama iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Alisema ili kuimarisha ulinzi na…