Magazeti ya Tanzania Septemba 3, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Septemba 3,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote…
Jorge Mendes ndiye jamaa anayevuna pesa nyingi katika kipindi cha usajili….
Ikiwa ni siku moja toka dirisha la usajili lifungwe barani Ulaya, kila klabu inajiandaa kupiga mahesabu ni kiasi gani cha fedha imetumia kwa ajili ya kufanya usajili. Lakini wakati vilabu…
Mdhamini mkuu wa Ligi Kuu Tanzania Bara amekabidhi vifaa kwa timu shiriki (Pichaz&Audio)
Vilabu shiriki katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Septemba 2 ni siku ambayo mdhamini mkuu wa Ligi hiyo kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom imekabidhi vifaa kwa timu zote 16, zitakazo…
‘Bend Down Pouse’ kasimama Runtown Feat. Wizkid & Walshy Fire..(Video)
Runtown kutoka Nigeria kadondosha Video ya ngoma yake mpya 'Bend Down Pouse' ambayo kamshirikisha mkali wa Nigeria Wizkid na Walshy Fire Nakukaribisha uitazame mtu wangu.... https://www.youtube.com/watch?v=ovhX7LUzhPs PAPO KWA PAPO zipate…
Machache aliyoyazungumza Mgombea Urais kupitia CCM John Magufuli Mtwara Sept 02 (Audio+Picha)
Headlines za Tanzania kwa sasa ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015,Wagombea wa nafasi mbalimbali wanapita kila sehemu,kila Mkoa,kila Wilaya kunadi sera zao ambapo leo Mgombea wa Chama Cha…
Full video ya Dr. Slaa akieleza yote kuhusu CHADEMA na Lowassa.
Aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA Wilbroad Slaa alisimama mbele ya Waandishi wa habari Sept 1 2015 Dar es salaam kueleza mambo yote yaliyochangia ukimya wake na kutosikika toka Edward Lowassa…
Maneno ya James MBATIA siku moja baada ya Dr.SLAA
Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi James Mbatia leo amezungumza na waandishi wa habari, Dar es salaam mambo mbalimbali kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 25 ikiwemoshutuma alizozitoa Dr.Slaa kuhusu mgombea wa UKAWA…
Skendo tano kubwa zilizowahi kumtokea Tyga ni…? Zijue zote hapa!
Kila mtu anafahamu ya kuwa licha ya Tyga kuwa msanii mkubwa wa Hiphop Marekani yupo pia kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanadada Kylie Jenner, ukiaacha hayo Tyga ana skendo nyingi pia zinazo mkabili…
Nahodha wa timu ya Taifa ya Nigeria kajitoa kikosini kisa ni hiki….
Nahodha wa timu ya taifa ya Nigeria na golikipa wa klabu ya Lille ya Ufaransa Vincent Enyeama, siku ya Septemba 2 ameingia katika headlines na shirikisho la mpira wa miguu Nigeria…
Mfahamu Anthony Martial aliyesajiliwa na Man United, mkewe na mtoto wake (Pichaz&Video)
Klabu ya Manchester United imemsajili mshambuliaji mwenye umri wa miaka 19 kwa dau la pound milioni 36 akitokea klabu ya Monaco ya Ufaransa, Anthony Martial lakini mashabiki wamekuwa wakihoji kiwango…