Song karudi West Ham United, vipi Adebayor anafuatia? picha hii ya uhusishwa…..
August 31 na Septemba 1 ni siku ambazo habari nyingi za michezo barani Ulaya zitatawaliwa na headlines za usajili, kwani dirisha la Usajili kwa Hispania na Ufaransa linaripotiwa kufungwa, lakini nchini Uingereza bado…
Alishauriwa kwenda Oman kutafuta maisha, miezi 4 badaae stori ni nyingine! #Hekaheka. (Audio).
Kwenye heka heka ya leo @CloudsFM na Gea Habib ilikuwa inamhusu mdada mmoja alienda Oman kufanya kazi za ndani na kutafuta maisha lakini baada ya muda dada huyo alirudi Tanzania kwa…
Hili ndio Oven la computer ambalo halihitaji mpishi wala maelekezo! + (Video).
Kama kungekuwa na uwezo wa kutumia Computer kupika chakula maisha yangekuaje? Au kama simu yako ingekuwa na uwezo wa kupokea ujumbe wa kukutaarifu kuwa chakula chako kipo tayari maisha yangekuaje!?…
UKAWA wamtikisa SITTA, Sheria ya mitandao, NCHIMBI, Mauaji ya kutisha Arusha,Gari la Polisi..StoriKubwa
MWANANCHI Baada ya kimya cha zaidi ya mwezi mmoja na kutoonekana hadharani, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari leo nane mchana jijini hapa.…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania Septemba1, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Ujenzi wa Uwanja mpya wa Chelsea utafanana kitu hiki na Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam (Pichaz)
Klabu ya Chelsea ya Uingereza imeonyesha muonekano wa uwanja wao mpya ambao hadi mwaka 2020 inaripotiwa ujenzi wa uwanja huo utakuwa umekamilika. Bado mashauriano yanaendelea kuhusiana na wakazi wa eneo…
Pichaz za baadhi ya mastaa waliowasili katika timu zao za taifa, Ronaldo, Depay na Sanchez wapo pia..
Wiki hii ni wiki ya mechi za kimataifa kwa upande wa bara la Ulaya wao timu zao za taifa zitakuwa na mechi za kuwania kufuzu kucheza michuano ya Euro2016, ila…
Karibu uitazame hii mpya ‘High Notes’ kutoka kwa Banky W. (Video).
Baada ya kimya kingi msanii wa R&B kutoka Nigeria Banky W amerudi kuziandika headlines kwenye kurasa za burudani na video ya wimbo wake mpya 'High Notes'. Wimbo umeandikwa na kusimamiwa na…
Slaa kuzungumza leo, Magufuli aahidi ajira kwa 40%, Lowassa asema ‘msiogope’ +Sheria ya Mitandao leo. (Audio).
Tarehe 1 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, kazi yangu ni kukusogezea zile zote zilizoweka headlines kwenye magazeti baadhi zikiwa... John Magufuli ahaidi ajira kwa 40% kupitia sekta…
Mtoto wa mchezaji bora wa dunia kutokea Brazil amejiunga na klabu hii ya Ureno….
Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo katika soka, amesajiliwa na klabu ya Boavista…