Tyga na Kylie Jenner mapenzi motomoto ndani ya ‘Stimulated’ – (Video).
Tyga na Kylie Jenner wamekuwa wakiweka headlines nyingi sana toka siku waliopigwa picha wako pamoja... maneno mengi yalisemwa juu ya Tyga kutembea na msichana huyo lakini hayo yote haijawazuia wawili…
Sababu ya kushindwa kusajiliwa De Gea Real Madrid na maamuzi ya klabu hiyo kwa FIFA viko hapa…
Golikipa wa kimataifa wa Hispania ambaye anaichezea klabu ya Manchester United David De Gea, alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya Real Madrid ya Hispania, hivyo kila kitu kilikuwa kimesha kuwa sawa ikiwemo…
Magazeti 16 ya Tanzania Sept 1 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Sept 1,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku , Michezo na Hardnews, zote…
Video yenye maneno yote ya Zitto Kabwe siku ya kwanza ya kampeni za ACT Wazalendo
Kiongozi wa chama kipya cha kisiasa Tanzania ACT WAZALENDO Zitto Kabwe alikua miongoni mwa waliosimama kuzungumza kwenye siku ya kwanza ya kampeni za chama hicho Mbagala Dar es salaam ambapo…
Ulimis video ya Sauti Sol ‘shake yo bam bam’ ??!! nimeirudisha tena hapa…
Sauti Sol ni kundi la muziki kutokea Kenya ambalo limezichukua headlines nzito Tanzania na mara ya mwisho ilikua ni kupitia hit single ya sura yako lakini time hii wametuletea video…
Kutana na video ya Mwanamke anayetaka kuwa Rais wa Tanzania 2015.
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 zimeshaanza tayari na tumewaona Wanasiasa mbalimbali wakisimama mbele ya Watanzania kutumia time yao kuwashawishi wapate zile YES za kutosha na hatimaye kuchukua nafasi…
Mwanamke mrembo akiiba mbele za watu inakuaje? jamaa walitegesha video camera
Jamaa wametegesha video camera sehemu alafu wakatafuta Mwanamke mrembo ajifanye mwizi wa kuchomolea watu mfukoni, hii imetokea Marekani lakini najua kama wangetegesha hii camera kwenye nchi kama Tanzania mpaka watu…
Video ya dakika 10 za Lowassa mbele ya Wanawake wa Dar es salaam
Ilikua ni siku ambayo mgombea Urais 2015 kupitia ruhusa ya UKAWA Edward Lowassa alipokutana na Wanawake wa Dar es salaam siku kadhaa tu kabla ya uzinduzi wa kampeni za UKAWA…
Matusi mitandaoni Tanzania mwisho ilikua jana saa tano na dk 59 usiku ! fahamu mengine ya sheria mpya hapa
Huu ndio utakua mwisho wa makosa ya kimtandao Tanzania??? sababu sheria hii imepitishwa na kuanza kutumika leo mahususi kwa wote wanaotumia vibaya mtandao. Unaambiwa mwisho wa yote ulikua jana August…
Video ya mwigizaji Jackline Wolper alivyosimama mbele ya Edward Lowassa.
Ilikua ni siku ambayo UKAWA waliamua kuitumia kuzungumza na Wanawake Dar es salaam ikiwa ni siku kadhaa kabla ya kuzindua rasmi kampenzi zao kwenye uchaguzi mkuu wa 2015, miongoni mwa…