Video ya mwigizaji Jackline Wolper alivyosimama mbele ya Edward Lowassa.
Ilikua ni siku ambayo UKAWA waliamua kuitumia kuzungumza na Wanawake Dar es salaam ikiwa ni siku kadhaa kabla ya kuzindua rasmi kampenzi zao kwenye uchaguzi mkuu wa 2015, miongoni mwa…
Video Yamoto Band waliyoifanya South Africa ndio hii imetoka…
Watoto kutoka kwenye familia ya Mkubwa na Wanawe TMK walijisogeza mpaka South Africa na kufanya video yao ya kwanza na kampuni ya kimataifa ya God Father ambayo imekua ikifanya kazi…
Air Tanzania imebaki na ndege ngapi? nani kasema imekufa? Marubani wapo?!! kutana na Samwel Sitta
Ulisikia kwenye majukwaa ya kisiasa Wapinzani wakisema kwamba shirika la ndege Tanzania limekufa? sasa Waziri wa uchukuzi Samwel Sitta baada ya kuyasikia hayo amesimama kuyatoa haya mbele ya Waandishi wa…
Dr. Wilbroad Slaa mbele ya Waandishi wa habari Tanzania Sept 1.
Ni kweli katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa amekua kimya toka Edward Lowassa ajiunge na CHADEMA akitokea CCM lakini August 31 2015 kituo cha…
Di Maria aeleza tatizo lililomfanya ahame Man United na kujiunga na PSG……
Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina aliyekuwa ana kipiga katika klabu ya Manchester United kabla ya kutimkia klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Angel Di Maria, ameeleza sababu za yeye…
Saa kadhaa kabla ya dirisha la usajili kufungwa Southampton yaweka kikao na Mkenya huyu…
Klabu ya Southampton ya Uingereza bado inahangaika namna ya kumzuia kiungo wa kimataifa wa Kenya anayeichezea klabu hiyo Victor Wanyama asiihame Southampton, kupitia mtandao maarufu wa habari za michezo wa…
Usajili wa De Gea na Navas waelekea kukamilika usiku huu
Siku ya mwisho ya usajili barani ulaya inazidi kunoga, inaripotiwa kwamba vilabu vya Manchester United vimefikia makubaliano juu ya biashara ya wachezaji David De Gea na Kylor Navas. Baada ya…
Liverpool yamsajili mshambuliaji huyu kutokea Nigeria……….
Klabu ya Liverpool ya Uingereza haiko nyuma na yenyewe kumalizia masaa ya usajili yaliosalia vizuri, kila klabu ina angaika ili iweze kusajili mchezaji iliyekuwa inamtaka kwa muda mrefu au inasajili…
Baada ya Januzaj, Chicharito nae aondoka Man Utd
Kocha Louis van Gaal ameendelea kusafisha timu kwa kuuza wachezaji au kuwatoa kwa mkopo. Baada ya mchana wa leo kumtoa kwa mkopo Januzaj, jioni hii klabu ya Manchester United imemuuza…
Adnan Januzaj ameondoka rasmi Manchester United
Masaa kadhaa kabla ya dirisha la usajili kufungwa barani ulaya, klabu ya Manchester United imeendelea kufanya biashara katika siku ya mwisho. Baada ya jana kumpeleka kwa mkopo Tyler Blackett…