Afande Sele kamtelekeza dereva wake baada ya ajali, Ni siasa chafu? wamesikika… #UhearD (Audio)
Baada ya malalamishi mazito kutoka kwa kijana mmoja kuwa ametelekezwa na bosi wake ambaye ni Afande Sele, mwenyewe amefunguka kwa Soudy Brown leo. Kijana huyo anasema Afande Sele alimtuma mtu…
Sentensi 5 za Angel Di Maria baada ya kufuzu vipimo vya afya PSG
Kiungo wa Kiargentina Angel Di Maria yupo katika hatua za mwisho kabisa kukamilisha usajili wake kutoka Manchester United kwenda Paris Saint Germain. Di Maria ambaye alijiunga na Man United takribani…
Ajali nyingine ya treni India na idadi ya waliopoteza maisha..
Ajali ambazo huripotiwa kila wakati nyingi ni zile zinazohusisha magari barabarani, lakini ajali za angani, majini na za treni hutokea lakini si kila wakati. Huko India hakuishiwi matukio, kuna hii…
Kocha Pep Guardiola na Nigel de Jong walitaka kupigana, kisa? Paparazzi kawanasa kwenye Video
Kocha wa klabu ya FC Bayern Munchen ya Ujerumani ameingia katika mvutano kiasi cha kufikia kutaka kupigana na beki wa kimataifa wa Uholanzi anayeichezea klabu ya AC Milan ya Italia…
Swizz Beatz kaikubali tena na tena midundo ya Wizkid, kayaandika na haya maneno tisa tu…!!
Swizz Beatz ni producer mkali kabisa ambaye hata ukisema utaje majina makubwa ya Maproducer wakali watano Marekani huwezi kumsahau... unajua Producer ni mtu ambaye anajua sehemu kubwa sana ya udhaifu…
Nay na namba 966, TCRA na account za wasanii mitandaoni… Jose Mtambo anamkubali zaidi huyu?..255 (Audio)
Nay wa Mitego licha ya kuanza kuzitaja nammba za 966 kwenye nyimbo zake, amesema pia atakua akitumia namba hizo hata katika magari yake..amesema huwa anatoa oda na kusubiri...Ni kitu ambacho…
Wiz Khalifa ni headlines baada ya headlines, karudi tena na hii ‘Say So’…(Video)
Baada ya ngoma yake ya 'See you Again' akimshirikisha Charlie Puth kufanya vizuri, Rapper Wiz Khalifa amerudi tena kwenye headlines za burudani na safari hii ameachia video yake mpya inayoitwa…
HehaHeka ya mwanafunzi kupandisha mapepo na kudai yametumwa na mwalimu wake…(Audio)
Wiki iliyopita baadhi ya vyombo vya habari viliandika stori ya mwanafunzi mmoja wa Shule ya Msingi Kunguru iliyopo Goba, Dar es salaam kupandisha mapepo huku yakitaja kutumwa na mwalimu wake…
Ukiona wahudumu kwenye ndege hawaonekani, ujue wako huku wengine wamelala… !! (Pichaz)
Ukiwa ndani ya ndege unasafiri kuna wale wahudumu ambao wanakuwa wanazunguka hivi kuhudumia wasafiri, muda mwingi ni wakarimu na utaona wanatabasamu muda wote, unadhani hawapumziki? Nimekutana na story kwenye mitandao…
Picha za mtoto wa Whitney Houston akiwa kwenye jeneza ni biashara? familia je?..
Bobbi Kristina amefariki akiwa na miaka 22 baada ya kuugua muda mrefu kutokana na kudondoka bafuni..sababu ikidaiwa ni kuzidiwa na dawa za kulevya alizokua akitumia. August 3 ilikuwa siku ya…