Ndoa ya Amini imempoteza kwenye game? Collabo ya Sauti Sol na WaTZ, ajali ya Jambo Squad..255 (Audio)
Kuna uhusiano wowote wa ndoa na staa kushuka kimuziki? Amini amefunguka kwenye 255 na kusema kwa upande wake haamini kuwa ukioa kipaji chako kinashuka..yeye binafsi anasema anashukuru kumpata mke ambaye…
Hamad Rashid Mohamed kuhusu kesi yake na CUF Mahakamani, kufukuzwa, kuuawa.. Kuchokwa? (Audio)
Hamad Rashid Mohamed alikuwa Mjumbe wa Baraza Kuu CUF, lakini baadae alifutwa uanachama January 4 2012 na Baraza la Uongozi la chama hicho kutokana na madai kuwa alikuwa akikihujumu Chama hicho.…
HekaHeka ya kijana mwenye mwili mdogo lakini anachokula kimewashtua wengi…(Audio)
Team ya Hekaheka leo ilikua eneo la Ununio nje kidogo ya jiji la Dar es salaam baada ya kupigiwa simu na watu kuhusu jirani yao ambaye alikuwa anakula kupita kiasi,…
Je Di Maria anaondoka Man Utd, kituo cha TV cha mmiliki wa PSG kina majibu haya..
Tetesi za usajili wa kiungo mshambuliaji wa Manchester United, Angel Di Maria kuondoka Old Trafford na kujiunga na Paris Saint Germain leo zimechukua sura mpya. Kwa siku kadhaa baadhi ya…
Hongera kwa Tiwa Savage, good news kwa familia yao kumpokea mgeni huyu…
Familia ya Staa wa Nigeria Tiwa Savage kutoka kundi la Mavin jana ilikua na furaha kubwa baada ya kupokea ugeni katika nyumba yao. Tiwa Savage na mumewe Teebillz ambao walifunga ndoa…
Camera za Mapaparazzi zilivyonasa gari za msafara wa Obama zikikatisha mitaa ya Nairobi.. (Pichaz)
July 23 2015 zimebaki saa chache kabla ya kushuhudia Rais Obama akitua Kenya, mambo yanazidi kunoga... yani unaambiwa kila unapokatisha mitaa ya Nairobi lazima utagundua vitu tofauti tofauti hivi vinavyoashiria kuwa…
Majibizano ya Shilole na Nuh Miziwanda @Instagram ilikuwa ni ujio wa ‘Ganda la Ndizi’?!!..(Audio)
Yale mabishano kati ya Shilole na Nuh Mziwanda kwenye mtandao wa kijamii wa @Instagram kumbe ilikua kwa ajili ya wimbo wao mpya?. Mabishano kati yao yalitafsiri na wengi kama wamegombana, lakini…
Chris Brown kwenye headlines, azuiliwa kuondoka Ufilipino mpaka alipe…!!
Chris Brown anaziandika headlines kwa mara nyingine tena, siku chache zilizopita staa huyu alikuwa Ufilipino kwa ajili ya kufanya show, lakini akazuiliwa kuondoka nchini humo jana kutokana na mzozo wa mkataba…
UKAWA na mgombea wao, BVR Dar waanza vibaya na kuna hawa waliokamatwa kwa Ugaidi Dar…#MAGAZETINI JULY23
MWANANCHI Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake kimeshindwa kumtangaza mgombea wake wa urais kama ilivyotarajiwa jana, badala yake kikawaomba Watanzania kutokuwa na haraka, wasiwasi wala mihemko na kuwa…
Hili ndio Jibu la Zlatan Ibrahimovic lililoongeza utata kuhusu hatma yake PSG
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden anayekipiga katika klabu ya Paris Saint Germain (PSG) ya Ufaransa amezidisha uvumi wa kuwa huenda akahama timu hiyo kufuatia majibu ya swali aliloulizwa na jibu…