Mastaa wa Afrika walivyonaswa kwenye tuzo za MTV BASE 2015
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio walikua wasanii wa Tanzania pekee waliokuwa wakiwania tuzo za MTV Base zilizotolewa July 18 usiku hapa Durban South Africa ambako Diamond alishinda tuzo moja…
Meya na DC wa Kinondoni walivyotinga kwenye uzinduzi wa chimbo jipya la chini kwa chini Dar #MaishaBasement.. (Pichaz)
Katikati ya Mwezi June 2015 Maisha Club ya Masaki Dar es Salaam ilifungwa, lakini hii ilikuwa mwanzo wa kupata exclusive stories kuhusu kule inakohamia !! Tukaona pichaz na video na…
Magazeti 17 na kile kilichoandikwa leo July 19 2015 unaweza kuzipitia stori zote hapa >> Dini, hardnews na michezo
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili July 19 2015 tayari nimeyakusanya yote na kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Dini, Michezo na…
Arsenal wakishangilia ushindi wa Barclays Asia Trophy 2015 saa chache zilizopita.. (Pichaz)
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kutwaa taji la Barclays Asia Trophy kwa kuifunga klabu ya Everton kwa jumla ya magoli 3-1. Magoli ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott dakika 22, Santi Cazorla dakika…
Washindi wa MTV Mama awards 2015, wako hapa wote 17 akiwemo na Diamond Platnumz
Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za MTV Africa Music Awards 2015, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee Money’… kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani…
Banza Stone alivyozikwa Dar es salaam July 18 2015 ! #RIP
Jana tuliipata taarifa ya kushtua, ilikuwa msiba wa Mwanamuziki ambae kwa Tanzania alikuwa Legend kwenye muziki wa Dansi, Ramadhan Masanja aka Banza Stone... Sauti yake iliwahi kusikika kwenye bendi chache…
Moto wa vichakani ukafika mpaka Barabarani, ona picha na video gari zilivyoteketea..
Kama unasafiri kwenye barabara kubwa kama ya Dar-Mbeya, au Dar-Mwanza au barabara yoyote kubwa ya magari njiani kuna vibao vya tahadhari kwamba usiwashe moto.. ule moto athari yake sio kwenye misitu…
Nimempata Diamond hapa South Africa, kaeleza ukweli wa beef na Davido na walivyokutana juzi, mtoto wiki ijayo na tuzo za MTV.
Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz amekutana na camera ya AyoTV hapa Durban South Africa wakati tukisubiria tuzo za MTV 2015 kaongelea Beef yake na Davido ilivyokua na mpaka wakakutana,…
Man City wana pesa eeh? Ona maneno ya Kocha Pellegrin kuhusu bei ya Raheem Sterling..
Baada ya klabu ya Manchester City kumsajili Raheem Sterling kwa ada ya uhamisho wa pound million 49 kutokea klabu ya Liverpool, kumekuwa na maoni mbalimbali kuhusiana na kiwango hicho cha fedha…
Bunduki za AK47 na wanajeshi kwenye msiba wa baba yake Jidenna Nigeria?! (Audio)
Jidenna ni msanii kutoka Wisconsins Marekani aliyechini ya Wondaland Records inayosimamiwa na Janelle Monae. Jidenna amefahamika zaidi na single yake ya Classic Man na kama ulikuwa hujui msanii huyu ana…