Stori zote kwenye Magazeti 23 ya Tanzania July 17 2015 >>> Udaku, Michezo na Hardnews niko nazo hapa
Good morning mtu wa nguvu.. millardayo.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi. Ninayo tayari hii post ya Magazeti 23 ya Tanzania leo July 17 2015, story zote kubwakubwa…
Barabarani South Africa kutokea Johannesburg mpaka Durban
July 16 nilikuwa nikitokea Johannesburg kuelekea Durban ambako ndio utoaji wa tuzo za kituo cha TV MTV Base Mama2015 zinatarajiwa kufanyika wiki hii ambazo zinawaniwa na watanzania wawili ni Diamond…
Mzee Yusuph achukua fomu ya kugombea Ubunge visiwani Zanzibar
Mwimbaji wa Taarab, Mzee Yusuph ambaye siku kadhaa zilizopita aliwahi ku share na sisi ndoto zake za 2015 kuwa anatarajia kugombea ubunge kupitia chama cha Mapinduzi visiwani Zanzibar. Leo July…
Ratiba ya movie kwenye majumba ya cinema Dar es Salaam weeknd hii
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es Salaam ama utakuwa ndani ya DAR leo, nimekusogezea hii ratiba ya movies na Trailers zake zote.…
AyoTV: Maneno ya kwanza aliyoyatoa Dar es salaam Dr. John Magufuli baada ya kuteuliwa kuwania Urais
Kikao cha Halmashauri Kuu CCM Dodoma kikiongozwa na Mwenyekiti Rais Kikwete kilipitisha jina la Waziri wa Ujenzi Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu Tanzania 2015 ambapo…
Club mpya ya Maisha Basement imekamilika ninazo picha zake 27 hapa
Mtu wangu ukiniuliza wapi pakwenda weeknd hii kwenye shamra shamra za sikukuu ya Idd Mosi basi ningependa kukusogezea hii good news kwamba lile chimbo jipya lililokuwa likijengwa chini ya ardhi…
Robinho kamfuata Asamoah Gyan China?
List ya mastaa wa soka waliotamba katika Ligi kubwa za soka duniani kucheza katika ligi kuu ya China imezidi kuongezeka baada ya staa wa Brazil Robson de Souza "Robinho" kujiunga…
Chelsea nao wametambulisha jezi zao watakazotumia msimu huu
Tukiwa tunasubiri kuanza kwa Ligi Kuu Uingereza msimu ujao vilabu kadhaa vimekuwa vikitangaza jezi za mechi za nyumbani na ugenini... Mara nyingi jezi zao huwa hazibadiliki rangi kinachobadilika ni muundo…
Diamond Platnumz na Davido wamekutana hatimae, picha ziko hapa!!
Imekuwa story ambayo kiukweli kwa mtu anayefuatilia muziki haitaji hata kusimuliwa kilichokuwa kinaendelea kwa zaidi ya mwaka mmoja kati ya Davido na Diamond Platnumz ambao ilidaiwa kwamba wameingia kwenye beef…
Rais Kenyatta alivyokutana uso kwa uso na aliyeandika Barua kulalamika kwa Rais Obama… (Video)
Rais Uhuru Kenyatta na Babu Owino wamekutana uso kwa uso na kuingia kwenye headlines tena, tunajua kwamba ugeni wa Rais Obama ndani ya Kenya hauko mbali sana, ni kama wiki moja…