Afrika Kusini kwenye headlines tena na mabadiliko ya Sheria!
Ulikuwa unafahamu ya kuwa kuna baadhi ya nchi za Kiafrika haziruhushu vijana chini ya umri wa miaka 18 kufanya mapenzi? Na adhabu yake mtu akikamatwa ni kifungo!? Nimekutana na stori…
Kutana na visiwa vingine 10 vyenye mvuto zaidi duniani. >>> Pichaz!
Kuna visiwa vingi sana duniani vizuri na venye mvuto vinavyo ungana na bahari, na kwa baadhi za sehemu dunia kama Finland hufahamika kuwa na visiwa visivyopungua 180,000. Lakini hapa chini…
Iyanya kwenye headlines tena, karudi na hii video mpya: “Applaudise!”
Msanii maarufu kutoka Nigeria Iyanya anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani. Baada ya kudondosha video ya Nakupenda alioshirikiana na Bongo Superstaa Diamond Platnumz leo hii amerudi na kichupa…
Uamuzi wa Rais wa Nigeria baada ya Boko Haram kuendelea kuiandama nchi yake..
Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kuua maelfu ya watu Nigeria na hivi karibuni kumetokea matukio mfululizo ya mauaji ya watu katika maeneo ya wazi. Kufuatia matukio hayo Rais…
Maneno ya Kala Jeremiah baada ya sauti yake kusambaa kwenye mitandao ya kijamii…#Uheard (Audio)
Kwenye mtandao wa kijamii wa Whatsapp kumesambaa sauti ya msanii Kala Jeremiah inasikika akimlalamikia kwa ukali mshkaji mmoja. Kala amesema ameshangazwa na hatua ya kijana huyo kulalamika kwenye mtandao wa…
Asmir Begovc awa mrithi wa Peter Cech?, stori iko hapa
Ikiwa ni siku kadhaa baada ya klabu Chelsea kumuachia mlinda mlango wao namba moja Peter Cech ajiunge na klabu ya Arsenal, leo hii Chelsea wamethibitisha kumsajili mlinda mlango Asmir Begovic…
Zimenifikia taarifa za kuvamiwa kwa kituo cha Polisi stori iko hapa
Ni taarifa ambazo zimechukua headlines usiku wa July 12 baada ya watu wanaosadikiwa kuvamia kituo cha polisi cha Stakishari kilichopo Ukonga Dar na kuuwa watu saba. Kwa mujibu wa Mkuu…
Trey Songz kwenye headlines na hii ‘About You’…(Video)
Mkali wa R&B Trey Songz amerudi kwenye headlines na ngoma yake mpya inayoitwa 'About You', inayopatikana katika albamu yake mpya ya TRIGGA Reloaded Itazame hapa mtu wangu... https://www.youtube.com/watch?v=6EFeoYHx88Y Unahitaji chochote nachokipata…
Rapper AKA aligoma kufanya kazi na Joh Makini? Utapeli wa Mdundo.com je? kasikika pia Fella kuhusu albam mpya..#255 (Audio)
Mwishoni mwa wiki iliyopita CCM ilimtangaza Dk.John Magufuli kuwa mgombea Urais kupitia chama hicho huku na yeye akimchagua Makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba Samia Suluhu kuwa mgombea mwenza.. XXL ilimteua…
#Hekaheka….Fursa za wanawake, kituo cha Polisi Stakishari kuvamiwa (Audio)
Miaka ya sasa wanawake wamekua wakijishughulisha na kazi mbalimbali bila kujali ni katika mazingira gani tofauti na zamani. Wanawake wengi wa sasa wamekua wakijiamini na kufanya kazi nyingi ikiwemo ya…