Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA
Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba. Dakika chache zilizopita kwenye…
Zitto Kabwe kayasema haya kuhusu chama chake kuteua mgombea au kuunga mkono mgombea wa chama kingine
Baada ya chama cha Mapinduzi kupitisha majina matano kwenye tano bora ya Wagombea CCM nafasi ya Urais 2015 kupitia chama hicho. Sasa kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Mh Zitto…
Maneno 36 ya Waziri Membe kuhusu mtu aliyekamatwa na Mabilioni ya Wajumbe Dodoma..
Kuna stori zimeenea mitandaoni kwamba kuna mtu ambae amekamatwa na mabilioni ya pesa Dodoma, kingine ni kwamba amekamatwa na simu ikiwa na maelekezo kwamba pesa hizo ni za kuwapatia Wajumbe. Waziri…
Walioingia tano bora, wananchi wachoma kituo cha polisi na Dk.SLAA apitishwa UKAWA…#MAGAZETINI JULY11
MWANANCHI “Anakatwa, hakatwi” ndilo swali lililokuwa linaulizwa nchi nzima jana, lakini hatimaye Kamati Kuu ya CCM iliyokutana hadi usiku wa manane iliibuka na jibu kwamba Edward Lowassa amekatwa, huku kukiwa…
Hiki ndio kinachoendelea sasahivi Makao Makuu ya CCM Dodoma… (Pichaz July 11 2015)
Majina matano ya waliopitishwa kwenye tano bora ya Wagombea CCM tayari imethibitishwa, niko ndani ya Dodoma kuhakikisha kwamba millardayo.com inakupa updates zote zinazoendelea leo July 11 2015 moja kwa moja.…
JULY 11 2015 stori zote kwenye Udaku, Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa millardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Rais Kikwete kathibitisha haya majina matano ya Wagombea Urais waliopitishwa CCM
Pichaz zilianza kusambaa mitandaoni, baadae ikaja stori kuhusu Wagombea walioteuliwa kwenye Urais kupitia CCM. Muda unavyozidi kwenda ukweli wa hii stori unachukua nafasi zaidi, kwenye ukurasa wa @Twitter wa Rais…
Haya ndio matokeo yaliyotajwa Wagombea watano kwenye Urais kupitia CCM Dodoma
July 10 2015 inaripotiwa taarifa nyingine kutoka Dodoma Tanzania... Watu wengi wamekaa tayari kujua nini ambacho kitaamriwa Dodoma kuhusu Mgombea Urais ambae anateuliwa na CCM kugombea Urais wa Tanzania 2015.…
Picha 11 za kituo cha Polisi kilichochomwa moto leo Dar
Taarifa ninayokusogezea ni hii kuhusu kituo cha polisi eneo la ‘Bunju A’ Dar es Salaam kilichochomwa moto na wananchi baada ya tukio la ajali ya gari kumgonga mtoto mmoja. Kwa…
AyoTV: Lulu amejibu kwanini aliifuta account yake ya Instagram? ni noma je?
Mwigizaji Elizabeth Michael 'Lulu' alikua na time ya kukaa mbele ya camera ya AyoTV na kuzungumzia ishu kadhaa ikiwemo movie yake mpya inayokuja lakini pia aliulizwa swali la kwanini aliifuta…