Huyu ndiye star anae hamia Manchester United
Klabu ya Manchester United imepanga kutoa kitika cha pound milioni 60 kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa kijerumani Thomas Muller (25) anae ichezea klabu ya Bayern Munich. Manchester itamsajili mjerumani…
Breaking News: Kituo cha Polisi kimechomwa moto na Barabara imefungwa Bunju DAR
Breaking News niliyopokea muda mfupi uliopita inahusu ishu ya vurugu zilizotokea eneo la 'Bunju A' Dar es Salaam, barabara imefungwa na Kituo cha Polisi kimechomwa moto na wananchi baada ya…
Ni FurahiDay na Yemi Alade anayo furaha ya kukuletea video ya pili ya: Pose (Dance Cover Version)!
Msanii kutoka kwenye lebo ya Effyzzie Music, Yemi Alade amedondosha video ya pili ya wimbo wa Pose ndani ameshirikishwa Mugeez msanii kutoka Nigeria. Producer aliesimamia video hii anaitwa Paul Gambit. Hii…
JK ataja mafanikio yake, mkakati wa kumuengua LOWASSA JE? Mikoa na Wilaya mpya…#MAGAZETINI JULY10
MWANANCHI Rais Jakaya Kikwete amesema idadi ya wanachama wa CCM waliojitokeza kuwania urais ni kubwa, hivyo ni lazima wawape viongozi muda wa kuwachuja lakini akawataka wasiwanunie baada ya kufanya uamuzi.…
Aunty Ezekiel kayathibitisha tena mapenzi yake kwa Mose Iyobo na mtoto wao
Wengi sasa hivi tunafahamu ya kuwa Aunt Ezekiel ni mama wa mtoto mzuri wa kike aliempa jina la Cookie, baba wa mtoto huyo ni moja ya dancers wa Diamond Platnumz, ambaye…
Ripoti mpya ya nafasi ya Tanzania kwenye viwango vya FIFA
Tumeshuhudia timu ya Taifa Stars ikiwa na matokeo mabovu mfululizo ikiwemo kushindwa kufuzu michuano ya CHAN 2016 na kutolewa na Uganda kwa jumla ya mabao 4-1 katika mechi za kufuzu.…
Breaking News inamuhusu Okwi ndani ya Denmark kwenye uthibitisho wa picha kabisa..
Siku kadhaa baada ya kumaliza majaribio ya wiki mbili katika klabu ya Sonderjyske inayoshiriki katika ligi kuu ya Denmark, mshambuliaji Emmanuel Okwi amefaulu majaribio hayo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa…
Rais JK Bungeni, Mapadri kuvamiwa.. Mikoa na Wilaya mpya TZ, Rais UKAWA.. Stori kubwakubwa TZ
Inawezekana uchambuzi wa stori za magazeti redioni kupitia @CloudsFM umekupita, story zake ni muhimu zikufikie pia... hapa nimenukuu baadhi ya story na iko sauti ambayo ina stori zote mtu wangu.…
JULY 10 2015 stori zote kwenye Udaku, Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa millardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Diamond aendelea kukimbiza Top 10 za Africa
Kama wewe ni shabiki wa muziki wa Africa unaweza kuwa na hamu ya kufahamu ni single gani ambayo iko juu kwenye chati za muziki huu duniani…. kwa sababu kazi yangu…