Tatizo la Network sio Bongo pekeake, ndege hazikuruka Marekani leo !!
Kitaalam kuna vitu vikitokea vinasababisha network kuwa na matatizo, basi ikitokea mfano kuna tatizo kwenye network utasikia mtu analalamika eti Bongo kuna matatizo ya ajabu, hayo mambo hata Marekani yapo..!!…
Sabasaba 2015 Kimehappen… Usipitwe na hizi pichaz
Sikukuu ya Sabasaba ni sikukuu ya wafanyabiashara, bidhaa na huduma zinakusanywa sehemu moja kwenye Viwanja vya Sabasaba Temeke Dar es Salaam... Jana July 07 2015 ndio ilikuwa kilele cha Sherehe…
Jibu la Linah baada ya shabiki kuuliza uhusiano wake na kaka yake Zari (Bosi Mutoto).
Kama wewe ni mtu wa stori za mastaa kutoka kwenye mitandao ya kijamii inawezekana ikawa imekufikia hii ya Linah kutajwa kuwa mapenzini na kaka yake Zari The Boss lady ambaye…
Video ya AyoTV, Abdu Kiba asema anachokitamani kwa Diamond na Ali Kiba.
Post hii inamilikiwa na Abdu Kiba, msanii wa bongofleva ambaye ni mdogo wa Ali Kiba.... alifika TZA kwenye studio za Millard Ayo na kufanya Interview ya mambo mengi ambapo hii…
Barakah Da Prince karudi na hii nyingine ambayo ndani yake amemshirikisha Ruby- ‘Nitavumilia’ (Audio)
Mwaka 2015 jina la Barakah Da Prince, mkali wa Bongo Fleva ambae anaiwakilisha Rock City Mwanza limepaa kwa nguvu kubwa sana, hits zake zimegusa kila kona.. Watu wakaweka kura nyingi…
Snura kaolewa? maneno yake kwa Soudy Brown leo yako hapa…#UhearD (Audio)
Msanii Snura inasemekana alifunga ndoa ya siri hivi karibuni na baba mzazi wa mtoto wake aitwaye Dj Hunter na kuhudhuriwa na watu wachache. Mwenyewe Snura kamwambia Soudy Brown kuwa suala…
Mastaa walioomba kufanya remix ya ‘Zigo’, kwa nini Jambo Squad hawafanyi vizuri? Manecky na Diamond?…#255(Audio)
Ambwene Yesaya aka AY amesema hata kabla ya ngoma yake ya 'Zigo' kurekodiwa tayari kuna wasanii walishaomba kufanya remix ya nyimbo yake hiyo akiwemo Chameleone, Mwana FA Chid Benz na Wizkid.. ngoma hiyo imefanywa na…
Majirani wamesimulia manyanyaso ya mtoto kwenye Hekaheka…(Audio)
Kuna mama alimchukua mtoto wa jirani yake kutoka kijijini kwao Dodoma na kuja nae Dar es salaam akiahidi kumsomesha kama alivyoahidi kwa wazazi wa mtoto huyo. Mtoto huyo mwenye miaka…
Badala ya michango ya harusi angalia hiki kinachofanywa na Wachina kwenye ndoa..
Ni utamaduni wa kawaida kabisa na uliozoeleka ikitokea kuna harusi hivi basi kadi za michango zinapitishwa na watu wanatoa chochote ili kusaidia kufanikisha tukio hilo. Nimefikiwa na hii ya China, unajua…
Pep Guardiola kuifudisha Timu ya Taifa Brazil? Hiki ndio kilichomwangusha !!
Pep Guardiola ni Kocha ambaye anaifundisha Klabu ya Bayern Munich, kwani ana mpango wa kuifundisha Timu yoyote ya Taifa? Dani Alves kafungua haya mengine yaliyokuwa kwenye moyo wa Kocha huyo.…