Good news kwa mashabiki wa Rihanna, leo anayo furaha ya kukuletea video yake mpya!
Siku ya jumapili katika tuzo za BET msanii maarufu wa RnB Pop Rihanna aliwaonyesha watu video ya sekunde 90 ya wimbo wake B***h Better Have My Money wimbo uliotengeneza headlines…
Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JULY 2, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Watanzania waliopewa tuzo na malkia wa Uingereza ndio hawa wamerudi Tanzania
Stori ninayotaka kukusogezea sasa hivi ni hii kuhusu vijana wawili kutokea Tanzania (Given Edward & Angel Benedicto) ambao wiki iliyopita walikabidhiwa tuzo na malkia wa Uingereza kutokana na kile walichokifanya…
Kama una love na nyimbo za Jamaica, video 8 bora kwenye Top 10 ziko hapa
Kama unalove na muziki wa Jamaica hii ndio itakua time yako manake Trace Urban TV ya Ufaransa imezicheza hizi video 8 kati ya kumi bora wiki hii. 8.Konshens & J…
Waziri Membe amepiga picha na Zitto kabwe akayaandika haya.
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe ambaye June 30 alikabidhi rasmi fomu kwenye ofisi za makao makuu ya CCM kama mmoja wa waliotangaza nia ya…
Ay alitazama tuzo za BET 2015 pia, kuna kitu kaandika baada ya kuona tuzo ya Afrika.
Baada ya Staa kutoka Nigeria Wizkid na msanii wa Ghana Fuse ODG kulalamikia tuzo za kituo cha TV cha Marekani BET kuwatenga wasanii wa Afrika na kuwakabidhi tuzo zao asubuhi…
Fetty Wap amekuletea ngoma yake mpya: D.A.M (Dats All Me) – (Audio)
Fetty Wap ni msanii wa HipHop kutoka Marekani anaefahamika kwa hit single yake ya Trap Queen iliyoshika nafasi ya pili kwenye chati ya Billboard Hot 100 mwaka jana. Leo msanii huyu amedondosha…
Joto kali limerudi tena Uingereza leo, mara ya mwisho ilikuwa 2006.. (Pichaz)
June 01 2015 story kutoka Uingereza inahusu record ya juu ya joto ambayo haijawahi kutokea kwa kipindi cha kama miaka 10 hivi. Kiwango cha joto imefikia degrees 36 za Centigrade..…
Ratiba kamili ya michuano ya Kagame Cup 2015 niko nayo hapa…
Michuano ya kimataifa kwa nchi za Afrika Mashariki na kati ya kombe la Kagame itaanza Jula1 18 kwenye uwanja wa Taifa, Dar es saam. Tanzania inatarajia kuwakilishwa na timu tatu…
Unaruhusiwa kupiga picha ndani ya White House? Michelle Obama ana tangazo hili.. (Video)
Mara nyingi maeneo kama Ikulu, au kwenye Kambi za Jeshi huwa hairuhusiwi kabisa mtu yoyote kupiga picha.. hiyo marufuku ilikuepo pia ndani ya Ikulu ya White House Marekani. Leo First…