Ratiba ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara, Uingereza na Hispania September 26 na 27
Weekend hii kutakuwa na muendelezo wa michezo kadhaa ya Ligi Kuu Tanzania bara ikiendelea pamoja na Ligi mbili kubwa zinazopendwa barani Afrika, Ligi Kuu Uingereza (EPL) na Ligi Kuu Hispania…
Weekend hii mtu wangu wimbo huu uwe kwenye playlist yako; ‘Broadcast Live’ ya kwake T.I. (Video)
CEO wa lebo ya Hustle Gang T.I (TIP) anaziandika headlines kweye kurasa za burudani jumamosi hii, baada ya kusherekea birthday yake hivi karibuni msanii huyo ameamua aiachie video ya 'Broadcast…
Davido kaja tena kuileta ‘Dodo’ kwenye video yake kabisa, enjoy mtu wa nguvu… (+Video)
Jina lake kwenye passport na na vyeti vingine rasmi linasomeka hivi >>> David Adedeji Adeleke, Dunia inamtambua kwa kazi nzuri ya muziki anaoufanya, anafahamika kwa jina la Davido.. kichwa kingine kinachoibeba…
Magazeti 14 ya Tanzania leo September 26 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
September 26 2015 ninazo tayari stori kubwakubwa kwenye kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania >>> Udaku, Hardnews na Michezo. Jumla ya Magazeti 14 ya Tanzania tayari yamenifikia leo, nimekusogezea uzipate…
Ninayo kauli ya Neymar kuhusu yeye kutaka kuhamia Man United …
Kabla ya dirisha la usajili halijafungwa mwezi August mwaka 2015, barani Ulaya kulikuwa na stori tofauti tofauti kuhusiana na baadhi ya wachezaji nyota kuhusishwa kutaka kuvihama vilabu vyao na kujiunga na…
Cristiano Ronaldo anaisubiri rekodi hii kwa tabasamu tu, majibu yote ni mechi ya Sept 26
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aitwaye Cristiano Ronaldo Junior, September 25 amepiga picha…
Hii ni kauli ya Mourinho ambayo inatafsiriwa kama kejeli kwa kocha wa Arsenal
Kocha wa klabu ya Chelsea ambaye amekuwa akiingia katika headlines mara kadhaa kutokana na tabia yake ya kupenda kulumbana na kuwatoa mchezoni wapinzani wake kwa maneno yake ya kejeli. September…
Kwanini hautomuona Ben Pol kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2015.
Ben Pol ambaye ni mwimbaji staa wa R'n'B ambaye ni mshindi wa tuzo za KTMA ni miongoni mwa mastaa wa Tanzania ambao hawajaonekana kwenye kampeni za kisiasa mwaka 2015 kwenye…
Marehemu Celina Kombani alianza kuumwa baada ya kura za maoni aliporudi nyumbani, aliyoyasema?
Kingine kikubwa kwenye vichwa vya habari Tanzania sasa hivi ni pamoja na kifo cha waziri wa nchi, ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa umma, Mama Celina Kombani kutokana na…
Ninayo stori kuhusu utafiti wa taasisi ya TADIP Juu ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2015
TADIP ni taasisi isiyokuwa ya kiserikali iliyosajiliwa mwaka 2006, miongoni mwa shughuli kuu za taasisi hiyo ni utafiiti na ushawishi wa sera na sheria nchini Tanzania.Tangu kuanzishwa kwake kimekuwa ikileta…