#RIP Mama Celina Kombani… Hii ni taarifa kutoka Ofisi za Bunge kuhusu taratibu zote mpaka Mazishi..
Usiku wa September 24 2015 taarifa ya Majonzi imesambaa na kuwafikia watu kupitia Vyombo mbalimbali vya Habari pamoja na mitandao ya Kijamii, Serikali ikathibitisha pia kuhusu msiba wa aliyekuwa Waziri…
Stori kwenye kurasa za mbele na za nyuma Magazeti ya TZ >>> Udaku Michezo na Hardnews #September25
September 25 2015 ninazo tayari stori kubwakubwa kwenye kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania >>> Udaku, Hardnews na Michezo. Jumla ya Magazeti 21 ya Tanzania tayari yamenifikia leo, nimekusogezea uzipate…
Jose Mourinho kukumbana na adhabu hii baada ya kumbagua kijinsia daktari wa Chelsea..
Bado ile ishu ya daktari wa Chelsea na kocha wa timu hiyo Jose Mourinho inazidi kuingia katika headlines licha ya awali kuonekana kama imeisha vile. Baada ya daktari wa Chelsea…
Zinazotajwa kuwa sababu za Arsenal kuwakosa Edinson Cavani, Karim Benzema na Lewandowski zipo hapa
Klabu ya soka ya Arsenal ilikuwa ikihusishwa kutaka kuwasajili wachezaji kadhaa katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August lakini haikufanikiwa na hatimaye ilifanikiwa kumsajili kipa wa zamani wa Chelsea Peter…
Pichaz za Simba walivyojiandaa kuikabili Yanga Jumamosi hii
Jumamosi ya September 26 ni siku ambayo unachezwa mchezo wa kihistoria katika soka la Tanzania, ikiwa ni siku ambayo baadhi ya vilabu vya Ligi Kuu vitashuka uwanjani kucheza mchezo wa…
Timu ya taifa ya wanawake ya Iran yamkosa nahodha wake kisa mume wake….
Stori za soka la wanawake kukua zimezidi kuchukua nafasi duniani kote ila kinachovutia ni kuwa utamaduni wa nchi za kiarabu ambazo zimekubali kuunga mkono soka la wanawake lakini kwa baadhi…
Hii ndio Ripoti ya mwisho kutolewa na Mtandao wa #Twitter kuhusu mambo yao nane ..!!
Mitandao ya Kijamii ni kiungo kikubwa sana siku hizi kwa watu kutoka maeneo mbalimbali Duniani, jamaa wanaomiliki Mtandao huu nao huwa wanakaa na kufanya tathmini zao kuangalia jinsi ambavyo Mtandao…
Usher Raymond kafunga ndoa kimyakimya? Nyepesi nyepesi ni hizi toka Cuba..
Msanii wa R&B Marekani Usher Raymond amekuwa mtu wa kimya kimya sana siku hizi, yani mambo yake mengi anafanya kwa kushitukiza, pengine hii ndio style yake mpya ya maisha, kufanya…
Wamesema hii ni miji 15 Africa ni hii Miji mizuri 15 inayovutia, Dar nayo imo… (Pichaz)
Moja ya sababu zinazochangia miji kukua kwa kasi ni pamoja na miundombinu bora na ya kisasa zaidi..miji mingi ya Afrika inaendelea kukua kadri siku zinavyokwenda ukilinganisha na miaka ya nyuma.…
Picha 12 za mwaka 2015 zitakazokuonyesha baadhi ya mitaa ya Zanzibar kwa juu.
Kama hujawahi kufika Visiwani Zanzibar alafu ikatokea umepata safari kwenda Zanzibar anza kufurahia kabisa mtu wangu... kwenye safari sio lazima uwe na pesa nyingi ili uenjoy !! Mazingira ya maeneo…