Ninazo TBT pichaz za wakali wa soka kama Modric, Ramos, Casillas na wengineo zipo hapa…
Binadamu hupitia hatua nyingi hadi kuja kufikia mafanikio, wengi wamepata shida katika harakati za kusaka mafanikio, huenda umewahi kuwaona mastaa kadhaa wa soka wakiwa na mafanikio na hukuwahi kuwaona wakiwa…
Hekaheka ya Mama kupigwa risasi Tabata wakati akitaka kulipia fremu…(Audio)
Hekaheka ya leo inahusu tukio la mama mmoja maeneo ya Tabata, Dar es salaam kupigwa risasi na vijana wawili wakati akitaka kulipia fremu ya duka maeneo ya karibu na nyumbani…
Chama cha ACT Wazalendo wamejibu kwenye sentensi tisa kuhusu Utafiti wa TWAWEZA… (Audio)
Siku chache baada ya Taasisi ya TWAWEZA kutoa Ripoti ya Utafiti waliofanya kuelekea Uchaguzi Mkuu Tanzania, October 25 2015... Viongozi wa Vyama mbalimbali wametoa misimamo yao kuhusu Utafiti huo. Jana…
Chris Brown kazuiwa kuingia Australia December kisa Rihanna? Kilichonifikia ni hiki…
Chris Brown na lile jinamizi la kesi Mahakamani bado havijamwacha salama… ana tour ambayo anatakiwa akafanye Australia mwezi December 2015, story zimefika mitandaoni na kwa tetesi zinazoongelewa mpaka sasahivi ni kwamba…
Good News kuhusu waandishi hawa waliookuwa kifungoni kupata msamaha wa Rais..
Mwezi uliopita mahakama ya Misri ilitoa hukumu kwa waandishi watatu wa habari kutoka kituo cha Aljazeera baada ya kukutwa na kosa la kuandika habari za uongo na kupewa adhabu ya…
Rick Ross ajibu tuhuma za ubakaji dhidi yake…
Siku chache zilizopita Rick Ross aliweka headlines baada ya mwanamke ambaye jina lake halijatajwa kumshtaki rapper huyo na rafiki yake kwa ubakaji... mwanamke huyo alidai kuwa alifuatwa na rapper huyo…
ACT Wazalendo na TWAWEZA, CCM na Uchaguzi, Msukuma na Lowassa? Nyuki kwenye Mkutano? (Audio)
Kama kawaida asubuhi lazima ianze na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM na kama kawaida mtu wako wa nguvu nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwa za leo. Hofu Lowassa kuporomoka, CCM…
Iyanya kajipongeza na zawadi ya gari baada ya kukamilisha album yake…
Staa wa Nigeria baada ya kuachia album yake mpya 'Applaudise', ameamua kujipongeza kwa kunuua gari mpya aina ya Bentley. Meneja wake Ubi Franklin amempongeza kwa kuandika kwenye mtandao wa kijamii…
Pale ambapo mambo hayaendi sawa Rubani anaamua kutua ndege barabarani.. (Video)
Kuna wakati ambao ikitokea mambo yameharibika angani, Rubani wa ndege anaamua kufanya maamuzi magumu ili kuokoa abiria wake na kuhakikisha hakiharibiki kitu. Nimekipata kipande cha video ya kama sekunde 72…
Magazeti 19 ya Tanzania leo September 24 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
September 24 2015 ninazo tayari stori kubwakubwa kwenye kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania >>> Udaku, Hardnews na Michezo. Jumla ya Magazeti 19 ya Tanzania tayari yamenifikia leo, nimekusogezea uzipate…