Baada ya msimu mbovu Liverpool Balotelli kafunga goli umbali wa mita 27..(+Pichaz&Video)
Baada ya kuwa na msimu mbovu katika klabu ya Liverpool uliyopelekea kutoitwa katika timu yake ya taifa ya Italia Mario Balotelli ameanza kurudi katika ubora wake baada ya kufunga moja…
Hekaheka leo na stori ya Mzee kufanyiwa unyama baada ya kulewa… (Audio)
Kwenye hekaheka ya leo tukio limetokea Dar es Salaam, ambapo mzee mmoja amefanyiwa vitendo vya kikatili na vijana ambao alikwenda nao kunywa pombe. Mzee huyo amesimulia ilivyokuwa, amesema siku chache…
Pichaz za Harusi ya Manager wa Sauti Sol ilivyokuwa kwenye Bustani za Kenya ..!!
Good news kwa watu wa nguvu ambao +254 Kenya inayatambua majina yao ambayo yako kwa wino mzito kabisa kwenye Industry ya Entertainment Kenya, wa kwanza ni Annabel Onyango ambae ni…
Hii ni nyingine mpya kutoka kwake Chris Brown; Liquor & Zero (Video).
Wakati tukiwa tunasubiria ujio wa album mpya ya Chris Brown, 'ROYALTY', msanii huyo wa R&B ameisogeza kwetu video nyingine mpya kutoka kwake ambayo kwa siku mbili amekuwa akiipromote video hiyo…
Hii ndio Ripoti mpya kuhusu idadi ya watumiaji wa #INSTAGRAM Duniani kwa sasa..
Katika Mitandao ya Kijamii iliyobeba umaarufu mkubwa Duniani, Facebook ilianzishwa February 2004, Twitter ilianzishwa March 2006 hiyo ilikuwa miaka miwili mbele ya Facebook... Instagram imechukua umaarufu mkubwa sana sasahivi kwa sababu…
Mwacheni Eric Omondi na mapenzi yake… surprise kwa mpenzi wake Airport Kenya.. (Pichaz)
Jomo Kenyatta International Airport ilipata Burudani ya nguvu tena ya bure kabisa na ya aina yake kutoka kwa staa wa Comedy toka +254 Kenya, Eric Omondi. Wachekeshaji huwa ni watu…
Mambo 8 magumu aliyowahi kufanya Cristiano Ronaldo…
Umaarufu wa mchezaji bora wa dunia Cristiano Ronaldo umeanzia katika kipaji chake uwanjani..lakini mbali ya kuwa maarufu kuna mambo ambayo yamemuweka kwenye wakati mgumu kabla na baada ya kupata umaarufu…
Utafiti TWAWEZA mjadala mkubwa, Magufuli style mpya ya kampeni, Lowassa October 25″ >>> Stori Kubwa! (Audio)
Uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita? kazi yangu ni kuhakikisha zile zote kubwa za leo hazikupiti, kama hukuweza kuzisikia zote, karibu ucheki na hizi nyingine hapa chini. Magufuli apaa utafiti wa…
Nay wa mitego imebidi ayaandike haya kuhusu Wasanii wanaokashifu Wanasiasa.
Post hii inamilikiwa na msanii wa bongofleva Nay wa Mitego ambaye alitangaza toka mwanzoni kwamba anamuunga mkono mgombea Urais wa UKAWA Edward Lowassa kwenye uchaguzi mkuu wa October 25 2015.…
Floyd Mayweather amestaafu? Kati ya hawa saba, mmoja anamsubiri Ulingoni kufunga nae hesabu..
Baada ya Pambano la Floyd Mayweather VS Andre Berto ambalo walipigana usiku wa kuamkia September 13 2015, Mayweather aliongea kauli hii >>> 'Nimekamilisha kila kitu, nimefanya kila kitu kwenye mchezo wangu… Umri wangu…