Iyanya anatukaribisha kuitazama video yake mpya ‘Okamfo’ Feat. Lil Kesh..
Kwenye ile album mpya 'Applaudise' ya staa wa Nigeria Iyanya, ameachia video ya ngoma yake mpya 'Okamfo' akimshirikisha Lil Kesh. Karibu uitazame hapa mtu wangu... https://www.youtube.com/watch?v=pvyHtasYNvs&hd=1 PAPO KWA PAPO…
Magazeti ya Tanzania Septemba 20, 2015.. Michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Septemba 20, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Michezo na Hardnews, zote ziko…
Matokeo ya Man City Vs West Ham United yapo hapa (+Pichaz&Video)
Klabu ya Manchester City ya Uingereza September 19 imeikaribisha klabu ya West Ham United katika uwanja wake wa nyumbani Etihad kucheza mechi ya muendelezo wa Ligi Kuu soka Uingereza... Man City ikiwa…
Edward Lowassa alikua Bukoba leo… pichaz za ilivyokua ndio hizi.
Umati wa Wananchi wa Mji wa Bukoba ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Aghakhan kuhudhulia Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo…
Taarifa mpya ikufikie kuhusu beki wa Man United aliyevunjika mguu (+Pichaz)
Beki wa klabu ya Manchester United mwenye umri wa miaka 20 Luke Shaw ambaye alivunjika mguu katika mechi ya Ligi ya mabingwa Ulaya dhidi ya klabu ya PSV Eindhoven ya Uholanzi,…
Mgombea mwenza wa CCM akutana na wasanii wa bongo movie SEPT 19 (Picha)…
Headlines za Tanzania kwa sasa ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2015, ambapo leo Sept 19 wasanii wa filamu walipata mualiko kutoka kwa mgombea mwenza kupitia chama cha Mapinduzi,…
Matokeo ya Yanga Vs JKT Ruvu na mechi zingine za Ligi Kuu yapo hapa (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena September 19 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania, mechi ambazo zimechezwa September 19 ni mechi nne, klabu ya Yanga imeikaribisha klabu ya JKT…
Full Time ya Chelsea vs Asrenal Sept. 19 !
September 19 2015 ni siku nyingine ilikua inasubiriwa na mashabiki wa soka kwenye pande zote za dunia manake ni siku iliyozikutanisha tena uwanjani Arsenal na Chelsea ambapo mpaka game imemalizika…
Familia ilivyofanya Ndege kuwa nyumba ya kuishi na wako poa kabisa yani !! Pichaz hizi hapa..
Taylor Weidman ni Mwandishi wa Habari ambaye ameishi Thailand kwa kama miaka miwili hivi, amekatisha mitaa ya Jiji la Bangkok, Thailand. Maeneo mengi ya Miji mikubwa kama Dar es Salaam wakati…
Wachina walivyopewa dakika moja kushindana kupigana mabusu, pozi baada ya pozi.. (Pichaz & Video)
Kuna mashindano mengine ni vichekesho tu, pata picha mnashindana kupigana mabusu na mshindi anaahidiwa pesa ya nguvu kabisa eti !! Shindano limefanyika May 01 2015 katika Jimbo la Yunnan, China... mtu…