Umeliona tangazo la TV alilofanya Michelle Obama? liko hapa kama hujaliona. @letsmove
Wiki iliyopita Miami Heat walitembelea Ikulu ya Marekani kusherehekea uchampion wao wa mwaka 2013 ambapo wakiwa hapohapo Ikulu waliungana na first lady kusupport kampeni ya let’s move kwenye tangazo la…
Zile mali za mastaa, mwimbaji Barnaba nae katuonyesha hii ndio nyumba aliyojenga.
Sio kwamba mastaa wa zamani wa bongofleva hawakuwa wanapata chochote kwenye malipo kutokana na kazi zao bali imefahamika kwamba mipangilio na matumizi mazuri ya fedha havikuzingatiwa sana kwa baadhi ya…
Unayataka magoli yaliyofungwa na Yanga huko Uturuki dhidi ya Simurk PIK? video iko hapa
Post hii ni maalum kwa kila anaefatilia stori za club ya Yanga ambayo imekua nchini Uturuki kwenye kambi ya kujiweka imara zaidi kwa ajili ya mechi zijazo.
Jinsi Diamond alivyokwenda kuwalipia ada shuleni watoto walioshinda kucheza ‘ngololo’ na pesa aliyolipa.
Mwimbaji Diamond Platnumz Jumanne ya January 21 2014 alitimiza ahadi yake kwa watoto walioshinda kwenye tamasha la watoto la Xmas aliloliandaa na kukutana na watoto kwenye stage ambayo pia alishindanisha…
Umekisikia alichokisema Mbwiga leo?kisikilize hapa.
Mbwiga Mbwiguke kama kawaida yake anaikamilisha Sports Extra kwa Udambwi dambwi wake ambao unaupata pia kupitia hapa millardayo.com,itumie hii nafasi kumsikiliza alichokisema waeza sikiliza pia kupitia 88.1 Clouds Fm Mwanza.…
Matano ya kufahamu kutoka kwa Rose Muhando leo pamoja na hii video aliyoifanya Afrika Kusini.
1. Toka ameingia mkataba wa kuwa chini ya kampuni ya Sony miaka miwili iliyopita, hii ndio itakua single yake ya kwanza ambapo anasema ‘unaitwa Yesu Kung’uta ila mimi najua kila mtu…
Sikiliza kilichomkuta Kajala baada ya kile kinachosemekana kumgombania Jamaa kupitia You heard ya leo
Mapenzi yana namna nyingi yanavyoweza kuchambuliwa au kuelezewa,hebu sikiliza kilichomtokea Kajala kwa kile kinachoonekana kumgombania Jamaa ambaye ilishatoka story kwamba hawako pamoja,Sikiliza kupitia 88.3 Clouds Fm Kigoma. Bonyeza play kusikiliza.
#Exclusive: Unataka kuona mshindi wa BSS 2013 amezitumiaje milioni 50 zake? picha za alivyovifanya ziko hapa
Jina lake ni Emmanuel Msuya ambae usiku wa November 30 2013 Escape One Mikocheni Dar es salaam alitangazwa mshindi wa BSS kwa mwaka 2013 na kuzichukua MILIONI 50 kutokana na…
Najua watu wengi watamsupport @FlavianaMatata kwenye hili, hii ni hatua nzuri
Leo January 21 2014 Mwanamitindo Mtanzania aishie na kufanya kazi New York Marekani Flaviana Matata, amekamilisha mizunguko kwenye shule alizozipa misaada na kutoa shukrani za pekee kwa waliomsaidia kwenye huu…
Ni kweli Rose Muhando alilipwa hela na hakutokea kwenye Matamasha, kinachofata kiko hapa
Kwenye headlines kubwa za muziki wa Injili Tanzania mwaka 2013, jina la Rose Muhando lilichukua nafasi yake pia kutokana na taarifa kadhaa kwamba amekua akilipwa pesa za kuimba kwenye matamasha…