Msikilize Mbwiga leo February 11.
Siwezi kukusahau mtu wangu wa nguvu unaefatilia mtekenyo huu wa Mbwiga wa Mbwiguke ukupite hivi hivi,leo mbwiga kazungumzia zile timu ambazo zinawatoa wachezaji wake halafu baadae zinawasajiri tena na hii…
Sikiliza hapa Wimbo mpya wa Ben Pol Unanichora.
Huu ni wimbo mpya wa Ben Pol ambao ndiyo wimbo wa kwanza kuuachia rasmi kwa mwaka 2014,audio imefanywa na Fundi Samwel na ndani yake kashirikishwa Mwamba wa Kaskazini Joh Makini…
Kuhusu kunusurika kuchomwa moto makao makuu ya Chadema Dar es salaam.
Usiku wa kuamkia February 11 makao makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendelea Chadema yaliyopo jijini Dar es salaam yamenusurika kuteketea kwa moto baada ya watu wasiojulikana kufanya jaribio la…
Mchezaji huyu wa Bayern Munich kuukosa mchezo dhidi ya Arsenal
Zikiwa zimebaki siku kadhaa kabla ya raundi ya kwanza ya mechi za mtoano wa ligi ya mabingwa wa ulaya, mabingwa watetezi Bayern Munich wamethibitisha kwamba mchezaji wao tegemeo Frank Ribery ataukosa mchezo…
Mechi ya Fulham vs Liverpool hatihati kutofanyika, kisa kiko hapa
Mechi ya ligi kuu ya England kati ya Fulham na Liverpool siku ya Jumatano, huenda ikahairishwa ikiwa mgomo wa wafanyakazi wa treni mjini London utaendelea kama ulivyopangwa. Wafanyakazi hao wa…
Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Jiji la Mwanza.
Bado tunaendelea kupokea picha na taarifa mbalimbali juu ya Wafanyabiashara wa mikoa mbali mbali walivyoamua kusitisha kutoa huduma sababu kubwa ikiwa ni kugomea mashine za Efd,baada ya Dar es salaam…
Umeisoma hii? Shabiki apoteza maisha Kenya kisa ushindi wa Liverpool dhidi ya Arsenal
Mwanaume mmoja raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya Arsenal na kufariki dunia katika eneo la Meru Mashariki mwa…
Sikiliza alichokijibu Diva kuhusu mahusiano yao kati yake na King Crazy Gk.
Kama uliisikiliza You heard ya jana huu ni muendelezo wake ambapo kwa leo upande wa pili umeongea kwa sababu jana haukupatikana na upande wa pili ni Diva kaweka wazi mahusiano…
Kuhusu mtoto aliyebakwa sikiliza hapa kilichomtokea kupitia Hekaheka ya leo.
Matukio ya kuonewa na kufanyiwa vitendo vya kikatili kwa watoto bado yanaendelea kupitia Hekaheka za leo,kuna taarifa ya mtoto kubwakwa kisha polisi kutoa taarifa ambazo zimewachanganya Madokta waliompima mtoto huyo,Taarifa…
Hizi status za Masanja,Mpoki,Diamond na Quick Rocka kwenye mitandao ya kijamii.
Hizi zimetoka kwenye account za mitandao ya kijamii ya Quick Rocka,Masanja Mkandamizaji,Diamond na Mpoki.