Kuhusu mpango wa TFF kutaka kubadili jina la Taifa Stars
Jina la utani la timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ limeonekana kuwa njiani kuachwa kutumika baada ya raisi wa TFF Jamal Malinzi kusema kwamba wanakaribisha wazo la…
Video mpya ya MBS by Gosby iko hapa. @thisisgosby
BMS (Baby Making Swag). It’s a good seductive music that just gets you in the mood especially between them sheets. The type of music that can help a man seduce…
Ulimis kusikiliza magazeti ya leo yakisomwa redioni?sikiliza hapa.
Zitumie dakika hizi kusikiliza uchambuzi wa magazeti Asubuhi ya leo January 31 kupitia kipindi cha Power Breakfast,magazeti haya yanachambuliwa na Paul James’PJ’ sikiliza kupitia 88.5 Clouds Fm Masasi. Bonyeza play…
Magazeti ya leo January 31 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Msikilize Mbwiga wa Mbwiguke leo January 30.
Zitumie hizi sekunde chache kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke leo January 30,aki-amplify taarifa za kimichezo sikiliza kupitia 104.4 Clouds Fm Dodoma. Bonyeza play kusikiliza.
Hili ni ombi toka kwa Mama Sharo Milionea kwenda kwa waandaaji wa Movie za Kitanzania.
Ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangu kufariki kwa Sharo Milionea,Mama mzazi wa Marehemu Sharo Milionea amekuja na ombi kwa ajili ya waandaaji wa Movie za kitanzania hapa nchini.…
Sikiliza wimbo mpya wa Temba na Kassim Mganga Lava lava
Huu ni wimbo mpya ya Temba na Kassim Mganga ni wimbo ambao umewakutanisha tena baada ya ule wimbo wa Chama kubwa wa Tip Top na Tmk wanaume family,mara nyingi imezoeleka…
Kuhusu kufungiwa video ya ‘Nimevurugwa’ ya Snura taarifa kamili hii hapa.
Inawezekana ukawa unashangaa baada ya kuona ukimya mara baada ya kutambulishwa kwa video ya Msanii Snura kisha kutoiona ikionekana mara kwa mara kwenye televisheni yako,kiu ya swali hili naikata kwa…
Sikiliza kilichotokea Nyumbani kwa Ney wa Mitego,kupitia You heard ya leo January 30.
Hizi taarifa anazi-amplify Soud Brown juu ya kilichotokea nyumbani kwake,ambazo inasemekana kamfukuza mshkaji wake kisa ni hiki hapa,sikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya. Bonyeza play kusikiliza.
Majibu ya kuchelewa kwa video ya Roho yangu ya Rich Mavoko haya hapa.
Mpaka sasa tayari video ya Rich Mavoco ya Roho yangu haijatoka rasmi ingawa ilishatoka taarifa ya kukamilika kwa hiyo video,millardayo.com imeongea na Rich Mavoco kuhusu hii video kwa kuzingatia kwa…