Huyu ndiye jamaa aliye tayari kumuua hata mama yake ili apate utajiri sikiliza kupitia Hekaheka hapa.
Bado tunasikia stori na zingine watu wamekua wakitoa ushuhuda kuhusu mtu anavyokuwa tayari kufanya kitu chochote ili apate mali,huyu ni jamaa ambaye kamtamkia Mke wake kuwa kuhusu suala la utafutaji…
Hizi ni dakika 15 za kusikiliza magazeti yakisomwa asubuhi ya January 30.
Kama kawaida ya millardayo.com ni kuendelea kukuweka karibu na vitu au kitu ambacho kilikupita,naomba kukuunganisha moja kwa m0ja mpaka kwenye Power Breakfast ya Clouds Fm ili kusikiliza Kuperuzi na kudadisi,sehemu…
Magazeti ya leo January 30 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Tumia dakika hizi 2 kumsikiliza Mbwiga leo January 29
Mpenzi wa michezo hizi dakika mbili naomba nizitumie kukuunganisha moja kwa moja na Mbwiga kusikiliza udambwi dambwi aliozungumza leo,sikiliza kupitia 107.3 Clouds Fm Manyara. Bonyeza play kusikiliza.
Unaambiwa tiketi za kielektorinik leo zimegoma kufungua milango mkwakwani.
Leo Tiketi za elektronik zimeshindwa kufungua milango ya elektronik kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga na kuzua tafrani kubwa,Kawaida mashabiki huzitumia tiketi hizo kufungua mlango lakini unaambiwa kila walipojaribu leo…
Kuhusu mwalimu aliyekua anamfundisha mwanafunzi wa darasa la 3 masomo ya kidato cha 3,sikiliza Hekaheka ya leo hapa.
Hivi ni vijimambo ambavyo vinatokea mara kwa amara kwenye makazi yetu,kutana na huyu baba mzazi ambaye ni mwalimu alipokuwa akimfundisha mwanae masomo ya kidato cha tatu wakati mwanae yuko darasa…
Hiki ndicho kilichompata Pasha,sikiliza kupitia Youheard ya leo.
Hiki kitu kimemtokea Pasha baada ya kugonga mtu na kusemekana mtu huyo amefariki dunia,taarifa mpaka sasa inasemekana bado yuko kituo cha polisi,tumia dakika hizi 5 kumsikiliza Soud Brown kwenye You…
Latest News:Kutoka kwenye jengo lililokuwa linaungua moto leo Kariakoo.
Kwa sasa vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuuzima moto huu,wakiongozwa na kikosi cha zimamoto kutoka uwanja wa ndegeMadhara,hasara bado hazijatangazwa pia hakuna taarifa ya mtu kupoteza maisha wala mtu aliyejeruhiwa kutokana…
Breaking:Ghorofa ya Gms Kariakoo yawaka Moto muda huu.
Taarifa za awali ambazo hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa kuungua kwa ghrofa hili kumesababishwa na shoti ya umeme kwa sababu sehemu kunakowaka moto kuna transformer,millardayo.com inaendelea kufatilia taarifa hizi.Ghorofa hili mpaka…
Kuhusu maandalizi ya video mpya ya wimbo wa Sharomilionea ‘Changanya changanya’
Aliyekua meneja wa Sharomilionea Hemed Kavu ‘HK’ ameongea na millardayo.com na ku-amplify taarifa juu ya video mpya ya wimbo wa Changanya Changanya wa Sharomilionea aliyoshirikishwa Ally Kiba. Uongozi huo umeipa…