Hii ndio ratiba ya robo fainali ya Champions league – Fahamu Man United imepangwa nani?
Ratiba ya ligi ya mabingwa wa ulaya hatua ya robo fainali imetoka na ipo kama ifuatavyo Barcelona v Atletico Madrid Real Madrid v Borussia Dortmund Paris St Germain v Chelsea…
Baada ya Dogo Janja kutangaza maamuzi,hii hapa kauli ya Baba yake mzazi.
Alhamisi ya March 20 2014 lilitoka tamko ambalo lina maamuzi ya msanii wa bongofleva Dogo Janja kuhusu kuomba msamaha na kuhitaji kurudi kwenye kundi lake za zamani la Tiptop connection…
Dakika 7 za Dogo Janja akitangaza maamuzi yake, anarudi Tiptop? kaomba msamaha kwa nani?
Hii ni Exclusive interview ya Dogo Janja on AyoTV ambayo ameamua kusema ya moyoni kuhusu kilichotokea baada ya kuondoka kwenye kundi la Tiptop Connection pia akaambatanisha na maamuzi yake ya…
Magazetini leo March 21 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Kuanzia sasa, mtoto yeyote atakaezaliwa Saudi Arabia haruhusiwi kupewa haya majina
Wizara ya mambo ya ndani ya Saudi Arabia imepiga marufuku majina hamsini ambayo yapo kinyume na tamaduni pamoja na dini ambapo kuanzia sasa, wazazi kutoka falme hiyo hawataruhusiwa tena kuwapa…
Sentensi 8 za Mzee Kingunge Ngombale zilizompa makofi na vigelegele bunge la katiba
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru ni miongoni mwa wazee wa long time kwenye Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ambapo time hii amepata nafasi ya kuwepo kwenye bunge la katiba…
Imebidi tu Oscar Pistorious aiuze hii nyumba, sababu ziko hapa
Kama unamkumbuka Oscar Pistoriuos mwanariadha wa South Africa ambae alimiliki vichwa vya habari kutokana na kumuua kwa risasi girlfriend wake siku ya wapendanao Feb 14 2013, kesi yake inaendelea Mahakamani…
Stori 10 za AMPLIFAYA March 20 2014, kuhusu shabiki wa Yanga aliefariki na mengine.
Amplifaya ni show ambayo inasikika kupitia Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku ikihusika kutoa stori zote kumi kubwa za siku za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na…
Heineken imeyaleta tena yale mashindano ya foosball @heineken_tz
Unaambi wa michuano ya Foosball inalenga mashabiki wa mpira na watumiaji wa Heineken® waliopo Afrika Mashariki, na itakwenda sambamba na Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) katika maeneo ya burudani 16.…
Video mpya kutoka kwa Rick Ross – Devil is a Lie
Kwenye audio ya wimbo huu Jay Z amehusika lakini kwenye hii video ameonekana Rozay tu aki-rap verse yake ya kwenye wimbo wa Devil is a lie. Wimbo huu upo kwenye…