Taarifa kuhusu kufukuzwa kwa Nicolas Anelka West Brom
West Bromwich Albion wamekata shauri la kumfukuza mchezaji mkongwe, Nicolas Anelka kwa utovu mkubwa wa nidhamu, baada ya mpachika mabao huyo kutangaza kwamba anaondoka Hawthorns. West Brom walishamuonya Anelka, kumsimamisha…
Picha 7 za Bus la Yanga lililopata ajali asubuhi ya leo March 16.
Taarifa ambazo zimethibitishwa na tovuti ya Yanga kuhusu kunusurika ajali bus walilokuwa wakisafiria kutoka Morogoro kurudi Dar baada ya kumalizika kwa mchezo kati yao na Mtibwa Sugar ya Manungu Morogoro…
Magazetini leo Jumapili 16 March 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza, Man City, Swansea, Southmpton, Newcastle
Ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Barclays Premier league imeendelea leo tena mchana kwa mechi 7 kupigwa katika viwanja tofauti nchini na matokeo yapo kama yafuatavyo. Fulham 1-0 Newcastle Everton…
Ripoti ya mchezo na matokeo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imetoka suluhu (0-0 ) dhidi ya timu ya Mtibwa Sugar ya Manugu katika mchezo uiofanyika jioni…
Hivi ndivyo Rose Ndauka, Meya Silaa na wengine walivyosafisha Jiji
Hii ni kampeni ya Rose Ndauka ambayo kaipa jina la Ng'arisha Tanzania inayohamasisha kuweka jiji la Dar es salaam katika hali ya usafi na kupendeza ambapo kampeni hii inahusisha kufagia…
Namna Meninah na Linah walivyoamua kuunganisha birthday zao Jumapili hii March 16.
Hii ni party ambayo imeamua kuunganishwa na sherehe za kuadhimisha miaka kadhaa ya warembo hawa na wanamuziki kutoka Tanzania ni Meninah na Linah kutoka THT ambao kwa pamoja watasherehekea siku…
J.lo angekuta Diddy na Ben Affleck wanaelea kwenye maji angemuokoa nani kati yao?
Mwimbaji Jennifer Lopez ameshawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mastaa kadhaa wa dunia akiwemo Diddy, Ben Affleck na baadae akaolewa na Marc Anthony. Kwenye interview aliyofanyiwa hivi karibuni, aliulizwa…
Baada ya Wema kudaiwa kumfanyia Diamond fujo studio, leo kaweka hii picha na kuyaandika haya
Kupitia You heard ya XXL Clouds FM March 14 2014 zilitoka stori kwamba Wema Sepetu amekwenda na kumfanyia fujo Diamond Platnumz studio. Hiyo ilitokana na kuona video ya Diamond akiwa…
Magazeti ya leo March 15 2014 na stori za Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.