Kolabo ya MwanaFA na Ali Kiba inazidi kuchukua nafasi, ichukue hapa kama ilikupita
MwanaFA ambae hivi karibuni alitajwa na producer maarufu Hermy B kama Mkali miongoni mwa wachache bongoflevani wenye uwezo mkubwa wa kuandika pia mashairi, ameungana na Ali Kiba kuziteka headlines za…
Unafahamu ‘kibarua kipya’ alichopewa Chris Brown na Mahakama? Soma hapa mtu wangu.
Stori mpya ninayokuletea mtu wangu wa nguvu inamhusu mwanamuziki Chris Brown, huenda hujapata nafasi ya kukutana na stori zake hivi karibuni, nakuletea hii ambayo ni latest zaidi kuhusiana na jamaa…
Magazeti ya leo October 24 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Boko Haram yateka wanawake wengine
Taarifa iliyoripotiwa na shirika la utangazaji Uingereza BBC imesema kikundi cha wapiganaji cha Boko Haram kimefanya mashambulizi katika kijiji cha Adamawa kilichopo Kaskazini Magharibi ya Nigeria na kuteka wanawake na…
Huyu ndiye mgonjwa wa kwanza kuumwa Ebola kwenye nchi hii.
Serikali ya Mali imethibitisha kuhusiana na taarifa za mtoto wa miaka 2 kukutwa na maambukizi ya Ebola akiwa ni mtu wa kwanza kupata maambukizi ya ugonjwa huo nchini humo tangu…
Hawa ndio wanafunzi wanaofanya mitihani ya Sekondari wakiwa na mimba.
Afisa elimu katika kaunti ya Bungoma Kenya, ametoa taarifa kuhusiana na wanafunzi 53 wanaofanya mitihani wa kumaliza elimu ya sekondari iliyoanza siku ya Jumanne wiki hii, ni wajawazito. taarifa iliyochapishwa…
Kwa hiyo Ray J katoa ushauri kwa Tyga baada ya kusemekana kutoka na Kylie wa Kardashian?
Ni kwenye zile stori za mastaa mbazo huwa haziishi yani ambapo kwenye hii post amekabidhiwa mwimbaji Ray J baada ya kuzungumza na kusema kwa mtazamo wake yeye ni vyema rapper…
T.I amehojiwa tena Marekani na kuzungumzia mengine mapya kuhusu Tanzania
Clifford Joseph Harris, Jr. a.k.a T.I mkali kutoka Marekani aliyeangusha show ya nguvu katika jukwaa la Fiesta 2014 siku ya Jumamosi Oktoba 18 2014 katika viwanja vya Leaders Club Dar…
Hukumu ya kifo yatangazwa kwa wanawake wanaojiuza pamoja na wateja wao
Katibu wa maendeleo ya jamii katika jiji la Abuja Nigeria, ametangaza ‘kiama’ kwa wanawake wanaofanya ‘biashara ya kujiuza’ pamoja na wateja wao. Taarifa iliyochapishwa na Today Internet Newspaper imesema, katibu…
Story 9 Hot Magazeti ya leo October23
MWANANCHI Siyo tetesi tena,sasa ni rasmi kwamba Waziri mkuu Mizengo Pinda ambaye amekua akitajwa kuwania urais amethibitisha wazi kuwa atagombea urais katika uchaguzi mkuu mwakani. Alitoa uamuzi huo juzi jijini…