Umesikia kuhusu Housegirl aliyetaka kumuua mtoto bila sababu?sikiliza hapa.
Hivi ni vitu ambavyo vinatokea mitaani na kwenye majumba mbalimbali ambapo miongoni mwa wasaidiz wa kazi za nyumbaniwamekua si waadilifu na kazi yao hali inayowapelekea kufanya vitu tofauti na vilivyowapeleka…
Kitu kizuri kwa ajili yenu wakazi wa Buzuruga Mwanza kutoka NMB.
Benki yako NMB imezindua rasmi tawi la Buzuruga mkoani Mwanza tawi hili likiwa ni tawi la tisa kuzinduliwa katika mkoa wa huo huku NMB ikiendelea kuwa ndo benki yenye matawi…
Hii ndio nyumba ya kwanza ya David Beckham alipoanza kujitegemea
Kabla ya kuwepo kwa jumba aliloiita Beckingham Palace kulikuwa na nyumba ya kawaida ya vyumba vinne iliyopo huko Wosrsley lakini hivi sasa nyumba hiyo iliyopo barabara ya Hazlehurst, iliyonunuliwa na…
Ulimis? magoli ya Yanga vs Al Ahly March9 yako hapa
Tazama mikwaju ya penati zote kati ya Al Ahly vs Yanga katika mechi iliyochezwa jana huko Alexandria Misri ambapo Al Ahly walichukua ushindi kwa njia ya matuta baada ya dakika…
Baada ya ‘nje ya box’ hii ndio video mpya kutoka kwa Nisher.
Hii ni video mpya ya msanii mpya wa Tetemesha Entertainment aitwaye Barakah da Prince, video ilifanyika Dar na kuongozwa na director kutoka Arusha Nisher. Hii ni video mpya kutoka kwa…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo March 10
Kwa kutumia teknolojia ya kisasa nimekurekodia magazeti haya yakisomwa na kuchambuliwa Redioni kwako mtu wangu wa nguvu,hivyo kama ulimis kwa bahati mbaya waweza kuyasikiliza hapa,Sikiliza kupitia 104.4 Clouds Fm Dodoma.…
Magazeti ya leo March 10 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya Simba vs Prisons – JKT vs Mtibwa Sugar haya hapa
Simba ya Dar es Salaam leo imeendelea kuwa na matokeo mabaya kwenye ligi baada ya kushinda kufungana na Prisons ya Mbeya katika mchezo uliopigwa uwanja wa Sokoine, Mbeya. Matokeo hayo…
Matokeo ya Al Ahly vs Yanga Misri yako hapa.
Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam imeondolewa kwenye michuano ya kombe la mabingwa wa Afrika baada ya kufungwa katika mchezo wa raundi ya pili na mabingwa watetezi wa kombe…
Full Time ya Man City vs Wigan March 9 2014
Ni mechi nyingine ambayo wengine wameifurahia na wengine wamehuzunika kutokana na haya matokeo.