Story 8 hot Magazeti ya leo October20
MTANZANIA Mtu aliyesadikiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza amezikwa kwa tahadhari kubwa na wataalam wa afya. Wakati mtu huyo akizikwa jana hofu…
Unafahamu washiriki waliotupwa nje Big Brother? Hawa hapa
Aliyekuwa mwakilishi wa kutoka Kenya ndani ya jumba la Big Brother nchini Afrika Kusini, Sabina ametolewa katika jumba hilo. Taarifa zilizowekwa katika ukurasa wa mtandao wa Standard Digital ya nchini…
Polisi yaua mlipuaji wa mabomu Arusha
Tumekuwa tukipata taarifa zinazohusu matukio ya mauaji ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara nchini Tanzania, hali ambayo imeonekana kukithiri katika siku za usoni huku jeshi la polisi likitoa ahadi ya…
Hivi ndivyo ulivyokuwa usiku wa Wema kwa Ubaya ndani ya Club 71
Ni usiku wa kuamkia Oct 20 ambapo mashabiki wa bongofleva kutoka maeneo mbali mbali waliojitokeza kwa wingi 'kumpa shavu' msanii Linex katika ukumbi wa Club 71 Kibo Complex uliopo maeneo…
Unatamani kuwajua wasanii 3 wa Tanzania anaowakubali Hermy B ?kawataja hawa.
Producer na mmiliki wa studio ya B-Hits Hermy B wiki iliyopita alipata nafasi ya kuhojiwa na Salama kwenye kipindi cha Mkasi ambapo miongoni mwa maswali aliyoulizwa ni pamoja na wasanii…
Umeisika stori ya fundi wa mifuko ya iPhone huko China? Isome hapa
Siku moja baada ya kampuni ya Apple kufanya uzinduzi wa simu za iPhone 6 na iPhone 6+ nchini China, mapya yameibuka katika mitandao kuhusiana simu hizo. Kuingia kwa simu hizo…
Magazeti ya leo October 20 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Kama ulikosa kilichojiri jana kati ya Simba vs Yanga – hizi hapa picha za matukio yote
Askari wa Farasi kutoka Kikosi cha FFU wakihakikisha wakiwa katika doria nje ya Uwanja wa Taifa kabla ya mchezo. Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akipambana na mshambuliji wa…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 19 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Hivi ndivyo T.I alivyopokelewa baada ya kutua uwanja wa ndege Dar es salaam. @TIP
Tunajua rapper T.I kutoka Marekani ni mmoja wa wakali ambao wamepewa hati miliki ya stage ya tamasha la Fiesta linalofanyika leo viwanja vya Leaders Kinondoni Dar es salaam likiwa na…