Bomu lililolipuka Cairo lasababisha maafa.
Bomu lililotengenezwa kienyeji huko Cairo, Misri limelipuka karibu na mahakama kuu siku ya Jumanne tarehe 14 mwaka huu na kujeruhi watu 12 ambapo gari na maduka yaliliyokuwa karibu ya eneo…
Umepata alichokisema Ommy Dimpoz kuhusu ile picha yake iliyosambaa?
Najua kama umekua karibu na mitandao ya kijamii kuanzia weekend iliyopita sanasana kwenye twitter na instagram utakua ulikutana na picha ya zamani ya Ommy Dimpoz aliyoipiga Kigoma ambayo ilisambaa kwenye…
Mmiliki wa Facebook amenunua huu upande wa kisiwa cha Hawaii.
Mmiliki wa mtandao wa kijamii wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua sehemu kubwa ya kisiwa cha Hawaii iitwayo Kauai ambayo ni hekari 700 kwa dola za Kimarekani milioni 100 ambapo atakuwa…
Huyu ndio Mwanamke aliyefia uwanja wa ndege Kenya kwa tetesi za Ebola.
Kila mmoja amekua na hofu akisikia au kukutana na mtu alietoka kwenye nchi zilizoathirika na ugonjwa wa Ebola barani Afrika na ndio maana ubaguzi umeripotiwa katika nchi mbalimbali za Amerika,…
Magazeti ya leo October 15 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Ujerumani nayo imeingia kwenye headlines za Ebola, wa kwanza amefariki.
Mfanyakazi wa Umoja wa mataifa aliesafirishwa mpaka Ujerumani akitokea Liberia wiki iliyopita baada ya kupatwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola, amefariki dunia kwenye hospitali ya St. Georg Ujerumani. Kifo…
Baada ya ile lift, ndugu zangu wa Mbeya wamezindua haya Mabasi time hii
Najua miezi michache iliyopita kulifanyika uzinduzi wa lift ya kwanza kwenye gorofa jijini Mbeya (CloudsFM 87.8) ambapo uzinduzi huu uliohudhuriwa na watu wanaozidi 200 kwa mujibu wa msemaji wa chama…
Najua hautopenda kupitwa na hizi picha nyingine alizonitumia Ay akifanya video yake na Sean Kingston Marekani
Mabibi na Mabwana...... kwa mara nyingine tena Ay ambaye ni msanii wa Tanzania amerudi kwenye headlines za kuruka kimataifa baada ya zile ahadi kutimia za kufanya single pamoja na staa…
Unazitaka video 10 kali za Afrika kwa sasa? ya Afrika Mashariki iko moja tu…
Ni time nyingine tena ya kukutanisha na kituo cha TV cha kimataifa cha Ufaransa (Trace Urban) ambacho kimekua na rekodi ya kucheza video kali na nyimbo zenye viwango tu hivyo…
Uliiona hii ya Vanessa Mdee na Jux weekend iliyopita?
Waimbaji Jux na Vanessa Mdee tayari mpaka sasa wameshachukua nafasi kwa kiasi chake kwenye headlines za stori za mastaa wa bongo mwaka huu na hii ni kutokana na wawili hawa…