Kama ulikosa mchezo wa FC Barcelona vs Rayo Vallecano, matokeo haya hapa
Wakiwa hawajapoteza mchezo wowote katika ligi kuu ya Hispania mpaka sasa huku wakiongoza ligi hiyo, FC Barcelona leo walijitupa uwanjani kupambana na Rayo Vallecano kwenye dimba la Estadio del Rayo…
Matokeo ya Manchester City dhidi ya Aston Villa haya hapa
Siku chache baada ya kushindwa kupata matokeo chanya katika mchezo wao wa pili wa ligi ya mabingwa wa ulaya dhidi ya klabu ya AS Roma, mabingwa watetezi wa ligi kuu…
Kocha huyu alalamika kunyimwa mualiko wa mvinyo na Van Gaal
Wakati wa utawala wa Sir Alex Ferguson katika klabu ya Manchester United alikuwa na utaratibu wa kuwaalika baadhi ya makocha wa timu pinzani kunywa mvinyo mara tu baada ya kumalizika…
Haya hapa matokeo ya Liverpool dhidi ya West Brom
Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mabaya katika ligi kuu ya England na katika michuano ya klabu bingwa barani ulaya, washindi wa pili wa ligi EPL msimu uliopita…
Rekodi mpya ya Azam FC na matokeo yao vs Tanzania Prisons haya hapa
Mabingwa watetezi wa Tanzania bara Azam FC leo imeweka rekodi mpya katika Vodacom Premier League baada ya kukamilisha idadi ya mechi 37 za ligi hiyo bila kupoteza hata mchezo mmoja.…
Simba bado hali tete, haya hapa matokeo yao dhidi ya Stand United na mechi zingine za VPL
Hali imezidi kuwa mbaya kwa klabu ya Simba, ikiwa haijashinda mchezo katika msimu mpya wa ligi kuu ya Vodacom, wana msimbazi leo walijitupa kwenye uwanja wao wa nyumbani wakiwakaribisha wageni…
Je Amisi Tambwe atacheza leo! Simba watoa majibu hapa
MSHAMBULIAJI wa Simba SC, Amisi Tambwe juzi alizua hofu kwa kocha Patrick Phiri na rais wa klabu hiyo, Evans Aveva baada ya kuumia mazoezi Uwanja wa Boko , Dar es…
Leo 04 10 2014 magazetini na stori kubwa za udaku michezo na hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Picha 3 za jinsi Waziri mkuu wa Uganda alivyonyang’anywa ulinzi nyumbani baada ya kutimuliwa kazi.
Jana ndio Waziri mkuu mpya wa Uganda Ruhakana Rugunda kaapishwa ila kabla yake alikua ni Amama Mbabazi ambae alifutwa kazi wiki kadhaa zilizopita baada ya kukaa madarakani toka May 2011…
Hii ni kuhusu Wanajeshi kupigana na Polisi Tarime juzi, wangapi wameumia? kisa?
Hii ni taarifa kutoka Tarime mkoani Mara ambako watu 12 wamejeruhiwa wakati wa mashambulizi ya kurushiana risasi kati ya askari wa JWTZ kituo cha Nyandoto na polisi wa kituo cha…