Eti umoja wa Ma-Girlfriend wamekuja na hii baada ya Diamond kutoa zawadi ya Gari kwa Wema…
September 26 ilikua ni siku ambayo mrembo kutoka Tanzania Wema Sepetu alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ndani ya siku yake hii ukitoa party aliyoifanya kulikuwa na vitu mbalimbali vya…
Taarifa kuhusu kifo cha msanii wa bongofleva Side Boy Mnyamwezi.
Ingawa Nafasi yake katika muziki wa Bongo Fleva ilikuwa ikipanda taratibu kulingana na aina ya muziki aliokuwa akiumba,single iliyomtambulisha zaidi kwenye muziki wa Bongo Fleva inaitwa Kua uone ambayo alimshirikisha…
Izzo B yuko tayari kwa TV yako… video ya ‘walalahoi’ ndio hii
Audio yake imefanywa na mikono ya producer Dupy kutoka Uprise Music navideo imeafanywa na Director Nick Dizzo ambaye ameshiriki kuongoza video kadhaa ikiwemo ya Nishike Mkono ya D Knob, My…
Pichaz 49 za Fiestani Mbeya jana sept 28… Linah, Linex, Mr. Blue, Stamina, Nay na wengine
Kwa mara ya pili mfululizo mkoa wa Mbeya umeivunja rekodi ya kipekee kwenye mahudhurio ya watu wa nguvu waliojitokeza kuisupport bongofleva kwenye uwanja wa Sokoine ambapo mwaka huu pia pamoja…
Magazeti ya leo September 29 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
VPL: Unamjua Coutinho wa Yanga – hiki ndicho alichowafanya Prisons leo taifa
Mshambuliaji wa Yanga, Jenilson Santos 'Jaja' akijikunja kupiga shuti mbele ya beki wa Tanzania Prisons, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa…
Magazeti ya leo September 28 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Rekodi mpya ya Messi na matokeo ya FC Barcelona vs Granada
Akiwa na miaka 27 tu mwanasoka bora wa zamani wa dunia Lionel Messi amezidi kuchafua vitabu vya rekodi kwa kuweka na kuzivunja rekodi mwenyewe. Leo hii wakati FC Barcelona ilipoikaribisha…
LaLiga: Matokeo ya Real Madrid vs Villareal na walichokifanya mashabiki wa Man United vyote viko hapa
Baada ya kuifumua Elche magoli 5-1 katikati mwa wiki hii, Real Madrid leo walisafiri mpaka katika dimba la EL Madrigal kukipiga dhidi ya Villareal katika mchezo wa kugombea uchampion wa…
EPL London Derby: Arsenal vs Tottenham – matokeo haya hapa
Baada ya mchana wa leo kuhushudia 'MersesydeDerby' kati ya Liverpool dhidi ya Everton, muda mfupi uliopita huko London ya kaskazini mahsimu wengine wa EPL, Arsenal na Tottenham Hotspur walikuwa dimbani…