Umeipata ya Mbowe kuitwa na Jeshi la Polisi?sikiliza hapa Magazeti yakichambuliwa leo Sept 18.
Magazeti ya Tanzania leo September 18 yana habari nyingi ikiwemo ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuitwa na Jeshi la Polisi Tanzania ambapo utayapata na mengine mengi yakichambuliwa na Gerald…
Uliiona hii ya Mwanamke ndani ya super market?
Tumezoea kuona watu wakiiba kwenye supermarket lakini mara nyingi mbinu zao za wizi huwa ni zilezile tulizozoea kuziona ambapo pamoja na kuipata hii video naendelea kufatilia kujua mengine ya ziada…
Dakika zako 3 zitumie kuisikiliza hii mpya ya Steve R’n’B
Kwenye rekodi za account hii ya hulkshare, inaonekana wimbo wake wa mwisho kuutoa ilikua July 2013..na ni single ya 'huyu dem' aliyoifanya na Mr. Blue ambayo mpaka leo imepata plays…
Stori kubwa magazetini leo Sept 18 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Uliikosa mechi ya Chelsea vs Schalke? matokeo yako hapa..
Baada ya msimu uliopita kuishia kwenye hatua ya nusu fainali, Chelsea imeanza upya mbio zake za kuutaka ubingwa wa Champions League kwa kucheza dhidi ya Schalke huku ikimuanzisha Didier Drogba…
Ya Man City vs Bayern Munich ilikupita jana? matokeo ninayo hapa
Ligi ya mabingwa Ulaya imeendelea tena September 17 2014 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali barani Ulaya ambapo kule Etihad stadium Manchester waliikaribisha FC Bayern Munich kwenye mechi ya…
Kilichomfanya Jacqueline Wolper aifute hii picha ya Lucy Komba instagram….
September 17 2014 mwigizaji Jackline Wolper aliweka kwenye page yake ya Instagram picha ya mwigizaji mwenzake Lucy Komba alieolewa hivi karibuni na raia kutoka nje ya Tanzania na kuandika masikitiko…
Sentensi 4 kwanini maandamano ya CHADEMA Dodoma leo yamezuiliwa na Polisi.
Polisi Dodoma wametangaza kuyazuia maandamano ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA yaliyokua yamepangwa kufanyika Alhamisi ya tarehe 18/09/2014 ambapo wametaka Wananchi wayapuuze. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma…
Shangwe za show ya Joh Makini A town!!
Arusha ni miongoni mwa miji ya Tanzania ambayo Wakazi wake wanasifa ya kuwa mashabiki wakubwa wa muziki aina ya Hiphop.... ambapo kwenye post hii mashabiki wa A Town wamedhihirisha kweli…
Ulikua mbali na Radio? stori zote 10 za AMPLIFAYA Sept17 ziko hapa
Ratiba ya Fiesta Morogoro na Iringa weekend hii imebadilika kidogo, Ijumaa itakua Iringa kisha Morogoro ni Jumapili. #AMPLIFAYA #Sept172014 Sio kweli jiwe lililopo Gangilonga Iringa linazungumza ila lilikua likitumiwa na…