Ripoti nzima ya mchezo wa Yanga vs Azam FC hii hapa
Mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Brazil Geilson Santos "Jaja" leo amewaonyesha wapenzi wa soka nchini nini kazi yake uwanjani baada ya kuisadia Young Africans kuibuka na ushindi wa mabao 3-0…
EPL: Di Maria moto..matokeo ya Man United dhidi ya QPR haya hapa
Baada ya kusubiri takribani mwezi mmoja hatimaye mashabiki wa Man United leo wameonja ushindi wa kwanza kwenye ligi kuu ya England kwenye mechi dhidi ya QPR. Wakicheza mbele ya mashabiki…
Picha 29 kutoka kwenye uzinduzi wa video mbili za Professor Jay
Rapper mkongwe Joseph Haule aka Professor Jay usiku wa Jumamosi (13 Sept) alizindua video mbili 'Kipi Sijasikia & '3 Chafu',uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge uliopo maeneo…
Video: Angalia walichokifanya Neymar na Messi kwenye mechi dhidi ya Athletic Bilbao
Ligi kuu ya Hispania maarufu kama La Liga imeendelea leo kwa michezo kadhaa kupigwa – FC Barcelona waliikaribisha Athletic Bilbao kwenye dimba la Nou Camp. Mchezo huo uliomalizika muda mfupi…
Kama ulimis mchezo wa Arsenal vs Man City – mtu wangu nimekuwekea video ya magoli hapa
Kama ulikosa kushuhudia mchezo wa Arsenal dhidi ya Manchester City, basi mtu wako wa nguvu nimekuwekea video ya magoli ya mchezo huo yaliyofungwa na Jack Wilshare na Sanchez kwa upande…
Video: Unaweza kuangalia alichofanya Diego Costa jana dhidi ya Swansea hapa
Diego Costa is on fire........ kwa mara nyingine tena mshambuliaji wa kihispaniola Diego Costa aliendeleza makali yake ya kuzifumania nyavu jana baada ya kufunga hat trick kwenye mchezo dhidi ya…
LaLiga: Real Madrid hali tete – hiki hapa ndio kilichowakuta dhidi ya Atletico
Magoli mawili ya Thiago na Arda Turan wa Atletico Madrid yamezidi kuipa mwanzo klabu ya Real Madrid kwenye michuano ya kugombea ubingwa wa La Liga baada ya kukubali kipigo cha…
Na haya ndio makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya leo Sept 14 Tanzania
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku kuanzia ya Udaku, michezo na hardnews kabla ya saa mbili kamili asubuhi, ukishayasoma ya leo unaweza kuwa mwanafamilia wa…
Historia waliyoitengezea Geita kwenye Serengeti Fiesta 2014.
Huu ni mji wa 8 kufikiwa na Serengeti Fiesta 2014 kati ya miji 18 ambayo ipo kwenye list ya kukutana na msimu huu wa mafanikio ambao hua unakufikia mara moja…
EPL: Kilichoikuta Liverpool dhidi ya Aston Villa hiki hapa
< Kwa mara ya nne mfululizo klabu ya Liverpool imekuwa ikikosa matokeo chanya kwenye uwanja wa nyumbani wa Anfield kila inapocheza na kikosi cha Paul Lambert - Aston Villa. Leo…