Video ya ‘Mr. Nay’ yamfanya Nay wa Mitego aitwe na mama yake mzazi
Nay wa Mitego msanii wa bongofleva ambae yupo kwenye list ya watakaotumbuiza katika stage ya Serengeti Fiesta 2014 Ijumaa hii hapa 98.6 Musoma na Jumapili 87.5 Shinyanga, amethibitisha kwamba Mama…
Habari za Kenya: Daniel Arap Moi atimiza miaka 90, maiti ya msichana wa miaka 14 ifufuliwe.
Rais wa awamu ya pili nchini Kenya Daniel Arap Moi ametimiza umri wa miaka 90 Septembe 2 2014 ambapo ameitumia siku hii kuzungumza na Wakenya na kupinga shinikizo la kutaka…
Sentensi 6 za Samwel Sitta kwenye bunge la katiba Sept 2 2014.
1. Wengine wananikejeli wanasema kwa shughuli hii ya bunge la katiba naonyesha sifai Urais, mimi sijaomba Urais.... naifanya kazi hii kama Mwenyekiti wa bunge la katiba... basi, lakini nasema wanaochagua…
Kichwa kingine kwenye headlines za muziki Afrika Mashariki
Anaitwa Rema Namakula maarufu kama Rema alianza kuimba kama back up artist wa staa mwingine wa Uganda aitwae Bebe Cool lakini alitimuliwa kazi baada ya Bebe kumuona kwenye TV akizungumzia…
Umeipata hii ya Matonya kunusurika kushambuliwa kisa ‘mchepuko’ ?
You heard ni sehemu ya show ya XXL ya CloudsFM ambayo inahusu stori kadhaa za mastaa ambazo mara nyingi huwa ziko chinichini sana na huwa sio stori zinazoandikwa au kufikia…
Hii mpya ya Yamoto Band umeshaiona? kaonekana Rick Ross wa bongo na Kingwendu
Kutoka TEMEKE Dar es salaam ninayofuraha kukutanisha na vijana ambao sauti zao ni maarufu sana kwenye Radio sasa hivi..... vijana wasiozidi miaka 25 ambao wako chini ya Mkubwa Said Fela…
Masaa kadhaa baada ya usajili wa Kagawa Dortmund – Idadi ya jezi alizouza hii hapa
Dirisha la usajili barani ulaya limefungwa usiku wa jana - Shinji Kagawa ni mmoja wa wachezaji waliofanya uhamisho katika dirisha hili la usajili. Kiungo wa Japan, aliuzwa kutoka Manchester United…
Umeisikia single mpya Diamond kachana? ‘mtoto wa mama’ na Godzilla.
Kutoka kwenye kiwanda cha bongofleva right now ni dakika nyingine 3 za kusikiliza mdundo mpya ambao Diamond kachana humo ndani yake ikiwa ni project ya Producer Zachaa wa Mj Records.…
Huyu ndio nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ujerumani
Miezi miwili baada ya kumalizika kwa michuano ya kombe la dunia, huku timu ya taifa ya Ujerumani ikitwaa ubingwa wa dunia, nahodha wa timu hiyo Philip Lahm alifikia uamuzi wa…
Hii ndio sababu aliyotoa Di Maria kwanini hakuhama Madrid msimu uliopita
Mchezaji mpya wa klabu ya Manchester United Angel Di Maria amezungumzia juu ya uhamisho wake kutoka Madrid na huku akisema kwamba isingekuwa mmoja wa marafiki zake kwenye klabu ya Snatiago Bernabeu basi angeweza…