Huyu ndiye Super Nyota Divaz kwa Mkoa wa Mwanza.
Mwanza hatimae wametoa Super Nyota wao ambaye amepatikana leo August 07 kwenye viwanja vya Jembe ni Jembe ambapo mshindi aliyeibuka ni Honeya ambae kwa aina yake ya ushiriki usingeweza kuamini…
Hivi ndivyo washindi wa Serengeti Dance la Fiesta walivyopatikana
Jioni ya August 07 ndiyo yamemalizika mashindano ya Serengeti Dance la Fiesta ambayo huwa yanaongozana na tamasha kubwa la Serengeti Fiesta na kwa mwaka huu tamasha hili limeanzia jijini Mwanza.…
Alichokisema Anti Ezekiel baada ya kusemekana anatoka na dansa wa Diamond Platnumz.
Mwanzoni mwa wiki hii miongoni mwa stori ambazo zilitoka na kuenea kwenye magazeti kadhaa ni pamoja na inayomhusu Anti Ezekiel kusemekana kuwa anatoka na dansa wa Diamond Platnumz. Taarifa ya…
Muendelezo wa ile Hekaheka iliyoanza August 06 ni huu.
Inawezekana hukusikiliza kilichoanza kutokea jana sio mbaya nikikukumbusha japo kiufupi ingawa unaweza pia kuisikiliza hiyo hekaheka ya jana August 06 hapa hapa ni kwamba kuna mwalimu mkuu aliwaamrisha watoto kumzomea…
Hukusikiliza magazeti yakisomwa leo August 07?Nimekurekodia unaweza kusikiliza hapa.
Binafsi siko tayari kuona unapitwa na kitu chochote ambacho kinanifikia iwe ni usiku au mchana,kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa nakupa nafasi ya kusikiliza uchambuzi wa magazeti kupitia kipindi cha Power Breakfast,hapa…
Magazeti ya leo August 07 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Baada ya Davido kuongelea beef lao, Wiz Kid amjibu kupitia twitter
Baada ya jana Davido kuzungumzia kitu gani kilimkasirisha hadi bifu na Wiz Kid kutokea, Wiz ameingia twitter na kumjibu bila kumtaja jina kama kawaida yao. Tweet hiyo inadhihirisha kwamba Wiz…
Linex nae kaweka nia ya kugombea ubunge,kwa kupitia chama hiki.
Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa sasa ni msanii kutoka Kigoma All Stars anaitwa…
Haya hapa ndio majibu ya Yanga kwa CECAFA baada ya kuondolewa Kagame Cup
Siku moja baada ya Shirikisho la vyama vya soka Afrika mashariki na kati CECAFA kuiondoa klabu ya Yanga kwenye michuano ya Kagame Cup itakayofanyika Rwanda, leo hii uongozi wa klabu…
Sikiliza namna Mwalimu Mkuu alivyoamrisha wanafunzi kumzomea mzazi wa Mwanafunzi wa shule hiyo.
Si hali ya kawaida kwa Mwalimu Mkuu kuwaamrisha wanafunzi kuzomea mtu na haswa mama wa mtoto ambaye pia anasoma shule hiyo hiyo,idara ya Hekaheka ina stori jinsi Mwalimu Mkuu alivyowaambia…