Unaikumbuka ile kesi ya Samsung na Iphone?hiki ndicho kilichoamuliwa kwa kampuni hizo.
Ile kesi ambayo inahusu Kampuni ya Apple na Samsung kwa sasa zimekubaliana kuachana na kutupilia mbali kesi zote zilizofunguliwa Marekani zikiwa zimeshitakiana,Kampuni hizo zilizozana kuhusu uanzilishi wa vifaa vya kielektroniki…
Video ya kwanza ya Hussein Machozi toka afumaniwe na mke wa Mwanasiasa Kenya
Siku zinahesabika toka zitoke stori zake Hussein Machozi kuhusu kufumaniwa na mke wa Mwanasiasa maarufu huko Mombasa Kenya ambapo gazeti la Majira Tanzania liliandika msanii huyu Mtanzania amepewa saa 24…
Hiki ndicho alichojibu Davido kuhusu beef yake na Wiz Kid.
Kwenye internet kulikuwa na tetesi kuhusu Wasanii wa Nigeria Wiz Kid na Davido kuwa na beef ambayo ilichangiwa sana na post za wasanii hawa kwenye social media zikionyesha kama kila…
Dakika 3 na sekunde 14 zinatosha kuangalia hii video mpya kutoka kwa Wiz Khalifa
Hadi sasa umesha enjoy kusikiliza wimbo wa Wiz Khalifa 'We Dem Boyz' ambao utakuwa kwenye album ya tano ya Wiz ambayo itatoka August 19. Kwenye hii album ameshirikiana na wasanii…
Kingine kilichomtokea Masogange ndani ya uwanja wa ndege Dar es salaam.
Video model Agnes Masogange mwaka jana alitawala vyombo vya habari baada ya kukamatwa na polisi huko South Africa akiwa na mwenzake Melisa Edward wakiwa na mzigo uliotajwa kuwa dawa za…
Kama ulikuwa mbali na radio?ni time yako ya kusikiliza kilichoandikwa na Magazeti ya leo August 06.
Nafasi nyingine ninayokupatia mtu wangu wa nguvu ni kukurekodia magazeti kisha kukuwekea hapa ili kama ilitokea wakati yanasomwana na kuchambuliwa hukuwa karibu na radio basi muda wowote unaweza kusikiliza hapa.…
Haya ni maswali mengine yaliyoulizwa kwenye mazungumzo ya Rais Kikwete na Watanzania waishio Marekani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Kikwete Usiku wa Agosti 2 2014,alikutana na waTanzania katika hoteli ya Marriot iliyopo jijini Washington DC Baada ya hotuba yake,Rais Kikwete aliruhusu maswali kutoka…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo August 06 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Yaliyoikuta Yanga Kagame Cup baada ya kupeleka kikosi cha Pili
Baada ya jana usiku katibu mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Nicholas Musonye kutoa onyo kwa Yanga kuwasilisha majina mapya ya wachezaji wa kikosi cha…
Hii ni nyingine tena kutoka Nuh na Shilole?taarifa ikufikie kumbe wameachana.
Stori ya Nuh Mziwanda kujichora tatoo yenye jina la Shilole ilisambaa sana na wengi walikua wakijiuliza siku ikitokea wameachana itakuaje hasa upande wa Nuh ambaye ndiye aliyejichora tatoo hiyo. Maelezo…