Magazeti ya leo May 30 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Majibu ya @ZittoKabwe juu ya madai ya kambi ya upinzani kuhusu Lekadutigite na Gombe Advisors.
Kwenye Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo aliyoiwasilisha Bungeni leo hii muda mfupi uliopita. Waziri Kivuli Joseph Mbilinyi 'Sugu' alimtaja Zitto Z. Kabwe…
Jibu la Irene Uwoya baada ya kuulizwa uhusiano wake na Msami wa THT.
Jana May 28 kupitia You heard ya XXL Clouds FM ilikua ni stori kuhusu uhusiano wa Msami wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoya na jana alisikika Msami…
Kuhusu wasichana waliobakwa na kuning’inizwa juu ya mti huko India.
Takribani wanaume watatu akiwemo afisa mmoja wa polisi tayari wamekamatwa kuhusiana na tukio la kubakwa kwa wasichana wawili wadogo na kundi la watu na kuning'inizwa juu ya mti huko…
Picha 6 za maandamano ya Wanachuo wa Saut Mtwara May 29.
Wanachuo wa chuo cha saut tawi la mtwara leo wameandamana mpaka kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara kutaka ufumbuzi juu ya mikopo yao kama wanachuo kutoka kwenye bodi ya mikopo.…
Wale wapenda Versace – wametoa T-shirts maalum kwa ajili ya kombe la dunia
Kmapuni ya mavazi ya Versace wametoa T-shirts maalum kabisa kwa ajili ya kuvaliwa wakati huu wa kombe la dunia. T-shirts hizo ambazo zimeanza kuuzwa kwenye mtandao zinauzwa kwa bei ya…
Kocha Pep Guardiola amefunga ndoa na huyu mpenzi wake wa longtime
Hatimaye kocha wa klabu bingwa ya Ujerumani Bayern Munich, Pep Guardiola amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Cristina Serra May 29 2014 ikiwa ni ndoa ya kawaida kabisa bila…
Kuanzia Leaders mpaka Makaburi ya Kinondoni,hii ndiyo safari ya mwisho ya Rachel Haule.
Muigizaji kutoka kiwanda cha filamu Bongo Rachel Haule leo amezikwa kwenye makaburi ya Kinondoni Dar es salaam kabla ya mazishi kulikua na ibada iliyoambatana na watu kutoa heshima za mwisho…
Ni mwaka wa Ronaldo? kingine alichomfunika Messi kiko hapa
Cristiano Ronaldo ameendelea kumfunika mpinzani wake Lionel Messi baada ya kumshinda kwenye uchezaji bora wa dunia, ufungaji bora wa La Liga na Champions League, utajiri na sasa kwa mujibu wa…
Hii ndio listi ya nyimbo anazosikiliza Wayne Rooney wakati wa Kombe la Dunia
Zikiwa zimebaki takribani wiki mbili kabla ya michuano ya kombe la dunia kuanza, mchezaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya England Wayne Rooney, leo ameshea playlist…