Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo Mei 16.
Naomba uzitumie hizi dakika 15 mtu wangu wa nguvu kusikiliza kilichoandikwa na kuchambuliwa kwenye magazeti mbalimbali ya Tanzania,hii ni nafasi nyingine nayokupatia baada ya kusoma hapa unapata nafasi ya kusikiliza…
Magazeti ya leo May 16 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi kutoka kwenye kurasa za kila gazeti kuanzia ya Udaku, Michezo na hardnews kurasa…
Muziki wa dance umepata pigo jingine leo, ni hiki kifo cha Mwimbaji Amina Ngaluma ‘Japanese’
Amina Ngaluma 'Japanese' ni miongoni mwa waimbaji ambao waliipa umaarufu sana bendi ya African Revolution 'Tam tam' kupitia wimbo wa Mgumba na baadae kujiunga na bendi ya Double M Sound…
Maajabu ya jinsi mtoto wa miaka minne alivyoookolewa na Paka baada ya kunga’twa na mbwa wa jirani
Yani hii imehuzunisha watu wengi sana kwa jinsi mtoto alivyovamiwa lakini ikawapa furaha baadae baada ya paka aitwae Tara kutokea na kumuokoa huyu mtoto ambae wanaishi nyumba moja huko California…
Nikikupa nafasi ya kutoa max,utatoa asilimia ngapi kwa msanii huyu chipukizi Danny Pess.
Kuna baadhi ya video za wasanii chipukizi ukizitazama unaweza kupata nafasi ya kufikiria makubwa kwa msanii husika,huyu anaitwa Danny Pess hapa kamshirikisha Mr Blue wimbo unaitwa Naogopa. Bonyeza play kutazama.
Serikali ya Tanzania imethibitisha mradi wa Treni za juu kama hizi kujengwa Dar hivi karibuni.
Umekua ni usafiri mwingine mzuri na wenye starehe yake kama ukipata nafasi ya kuutumia kwenye nchi zilizoendelea kama Marekani, Uingereza Dubai na kwengineko ambako kuna watu wengine wanategemea sana kuutumia…
Picha 10 za Miss Talent Dar City Centre wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari.
Mashindano ya vipaji vya warembo ambao wanashiriki kwenye mashindano ya urembo Miss Dar City Centre ambayo yatafanyika kwenye ukumbi wa New Club Maisha,miongoni wa burudani zilizotajwa ni pamoja na ile…
Video: Tazama magoli 10 bora ya msimu wa Bundesliga – Lewandowski vs Mandzukic
Ligi kuu ya Ujerumani imemalizika kwa klabu ya Bayern Munich kutwaa ubingwa wa Bundesliga, mshambuliaji Robert Lewandoski wa Borussia Dortmund nae amekuwa mfungaji bora wa ligi, na pia imetoka video…
U Heard ya leo inahusu stori za uhusiano wa kimapenzi wa T.I.D na Recho
List ya mastaa walio kwenye uhusiano wa kimapenzi na mastaa wenzao inawezekana ikaongezeka baada ya kufahamika hili la Tid na Recho kuwa wapenzi maana tumezoea kuwasikia Diamond Platnumz na Wema…
Taarifa kuhusu kutangazwa kwa kocha mpya wa Man Utd
Wiki kadhaa baada ya kumtimua kocha David Moyes klabu ya Manchester united wanakaribia kumtangaza kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Louis van Gaal kuwa meneja mpya wa timu hiyo.…